Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Umemaliza Kila kitu
 
Hapa tunapangwa

Tukio la kutoa mahari halitokei ghafla, kuna ndugu wanahusishwa ambao ndo haswa hupeleka mahari.
 
Wengi wamekwambia,
Lower your ego,
Mtoa mada unatabia ya kujisikia,
Tengeneza na huyo dada na familia yake
 
Mkuu kuna. watu hawajui kuomba samahani hata kidogo,yani anaona akiomba msamaha ni ujinga ndo type ya huyu Sasa,yani anaona kila a na achofanya yupo sahihi,lakini pengine hata malezi yanachangia,yawwzekana huyu ni wale waliolelewa upande mmoja,sidhani kama angetoka kwenye familia inayoelewka angefanya hivyo,kwani hata wazee wake wangemshauri.
 
Pampasi za kutoka wapi? ni busara sana kutokufikiria mambo ya namna hiyo. Una uhakika kwamba nikiumwa yeye ndo atakua msaada? let's be objective,,,
Nimesoma alichoandika mshikaji nimegundua kwamba watu wengi wanaanzisha familia kwasababu tu wanaogopa kuwa wapweke huko baadae wakizeeka, watu hawana retirement plan, na nimegundua kwamba watu wengi relationship zao zipo controlled na external power inayotoka kwa ndugu ndio mana wanaona jamaa kuchelewa kulipa mahari ni kosa kubwa sana na ni gumu kusameheka, hapa sasa najiuliza mapenz ya watu wawili yako wapi?.. Hakuna mapenz sikuiz ni maigizo tu ili kuwaimpress watu ambao ukianza kuishi na mwanamke ukipata matatizo hawachangi hata kumi, i just don't understand the whole narrative of the whole dowry paying... Ile hela kwanini inawavurugaga sana ndugu kwanini wanaiwekaga kwenye plan zao kama yakwao vile? Umaskini mbaya sana wazee, wale wazee wa kataa ndoa tuanze kukataa umaskini kwanzaaa
 
1. Humpendi huyo dada, laiti kama ungekuwa una mpenda usinge chukulia jambo hili kirahisi hivyo.
2. Bado hujapevuka (Mature) na unaendesha maisha yako kwa kufuata makundi rika (Rafiki).
3. Heshima yako kwa watu wazima ina mashaka. Nadhani una kiburi fulani hivi cha kijinga.
 
Wanawake huwa ni wabinafsi mkuu yan hata kama rafiki ako au mdogo wako angekuwa anadharula ya kutokwa na uhai na ukachukua decision ya kuahirisha jambo lake kunusuru uhai wa ndugu yako bado angekasirika, mkuu be very careful when you do major decisions especially when you incorporate women, us men are built different fuwk the 'all human beings are equal', women are selfish to the maximum, hata kama kungekuwa na msiba angetaka jambo lake litimie kwanza. Wanawake wote wanaocoment hapa wanamwona jamaa kama kakosea sana yan kama ana murder case na kakutwa guilty, lets say jamaa kesho kakutwa na tatizo kubwa unaweza kuta hata huyo mwanamke hawez kumsaidia na hao ndugu zake wanaobwata saivi ndio usiseme msaada akaja kuupata kwa jamaa alomsaidia. All in all ukioa mwanamke ukiacha pussy anayokupa anaweza kuofer nini mezani hili ni lakuzingatia sana...
 
😂😂😂😂😂😂 Eti dish limecheza 😂😂😂😂😂
 
Wewe muharibifu uwe wa mwisho kuchangia🤣🤣🤣🤣
Mkuu kaongea ukweli mchungu 😂😂😂😂😂😂😂 kuna mawili ni either anakuonea huruma au she is running out of options... And your the only option available baaaasi....
 
kwenye maisha inatakiwa emotional quotient (EQ) mtu asie na EQ basi IQ haina maana
Basi jamaa ni kiongozi mzuri sababu ili uwe kiongozi mzuri na una decisions nzuri EQ inatakiwa i surpass IQ, the decision alifanya as it stands ni the best sababu aliweza kumsaidia jamaake na mpenz wake wamepatana and i hope for the best wata resolve kila kitu...kiongozi mzuri anahitaji EQ nzuri...
 
Usiombe.Nyote hampendani muache tu huyo dada,karudi kwako kwa sababu hana option nyingine sio kwa upendo,
Vile vile na wewe humpendi,ungekua unampenda usingeweza kuhairisha suala la kutoa mahari ungepeleka hata nusu.
 
Mungu saidia huyu mtu ajifunze kuwafikiria wengine kwa mtazamo chanya. Mungu saidia watu wako wachangie mada kwa utulivu. Tuendelee kuchangia!
 
umemaliza
 
Mungu saidia huyu mtu ajifunze kuwafikiria wengine kwa mtazamo chanya. Mungu saidia watu wako wachangie mada kwa utulivu. Tuendelee kuchangia!
soma kwa makini sana comments za toughlendon_1
wengine hao wanakupoteza uyakanyage, huyo mwanamke karudi sababu hana options nyingine
 
Kwani uliahidi kutoa mahali Kwa mshenga na wazazi wake Au uliongea na huyo mchumba ako wawili tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…