Amenisadia sana, lakini nataka nimuache niolewe na HB. Namuachaje kiustaarabu?

Leo umekuwa Mwanamke?😅
 

 
Mtakuja mrogwe Mfe bure
Ulikubali kula vya watu acha uliwe
 
Huna akili,utajutia ujinga wako,shenzi na hayawani mkubwa
 
Miaka yote yupo hivyo
 
Wewe Sexless kifo kina kuhusu na moto wa jehanamu ndio halali yako, Ulipenda dezo kwa kupenda mambo mazuri ilihali mwanzo ulijua jamaa yupo kiporipori...Sasa kwa nini usimtengeneze akapata huo muonekano na tabia uzipendazo kuliko kutafuta shida nyingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…