Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alilea bure si alilipwa mbususuHuu ushauri ungewaomba wazazi wako waliokuwa na jukumu la kukulea wakamuachia jukum mtoto wa mwenzao halaf leo unataka ushaur kwetu.
Sema tu ukumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
Ujinga na ushamba na ubinafsi kuingia jela kisa mapenziUnakumbuka yule mwamba wa South alimpiga risasi 7 za kichwa yule malaya ambae alifanya kitu unachotaka kujaribu?
Kivipi ndugu kwani ni ndoaNawe pia utaachwa
hisia unazijua mzee?Ujinga na ushamba na ubinafsi kuingia jela kisa mapenzi
Kmmk[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hili jamaa halipo serious kabisa
😳😳😳Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Eeeewee asimtafutie kijana wawatu shida mtu mwenyewe mporipori achelewi kupita Igunga akatokea ambonitafuta mwamba mchit akufumanie ndonatakuacha mazima
Uko tayari kurudisha vya watu? Haki ya nani utauawa!Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.
The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.
Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.
Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Mm nimeomba ushauri kwenu wa kumuacha kistaarabuHermaphrodite wewe
Una Jinsia Mbili Kama Mpapai ?
Rudisha vya watu ndio uondoke vinginevyo kasome kisa cha Bwana Cherehani.
Kwamba na mm nitaachwa kistaarabu? Mm wala haitanisumbua!Sema tu ukumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
Ndo ushangae Sasa. Watu wameshupalia utadhani kuna ndoa!Kivipi ndugu kwani ni ndoa