Amenisadia sana, lakini nataka nimuache niolewe na HB. Namuachaje kiustaarabu?

Amenisadia sana, lakini nataka nimuache niolewe na HB. Namuachaje kiustaarabu?

Mpatie rafiki yako wa kike ambaye alikuwa anamheshimu au wanaheshumiana sana kwa kutengeneza mazingira Safi
 
Usifanye hivyo kesho anaweza kuwa msaada kwako maisha uzunguka Mwache kistaarabu, usiingie kwenye ndoa kwa kujilazamisha kifuatacho ni talaka. Mweleze live ukishindwa, mtumie message, au tuma mtu. Ataumia then atazoea ata move on. Kuvunja uchumba sio kosa wala dhambi.
 
Huu ushauri ungewaomba wazazi wako waliokuwa na jukumu la kukulea wakamuachia jukum mtoto wa mwenzao halaf leo unataka ushaur kwetu.
Sema tu ukumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
Kwani alilea bure si alilipwa mbususu
 
Mpaks muda huu bado sijaijua jinsia ya mtoa mada.
Anajigeuza geuza Sana mpaka humu tunachanganyikiwa Yaani.
 
Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.

The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.

Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.

Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
😳😳😳
 
Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.

The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.

Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.

Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Uko tayari kurudisha vya watu? Haki ya nani utauawa!
 
Hermaphrodite wewe
Una Jinsia Mbili Kama Mpapai ?
Rudisha vya watu ndio uondoke vinginevyo kasome kisa cha Bwana Cherehani.
 
Back
Top Bottom