Amenisadia sana, lakini nataka nimuache niolewe na HB. Namuachaje kiustaarabu?

Amenisadia sana, lakini nataka nimuache niolewe na HB. Namuachaje kiustaarabu?

Kuna mitego ukiingia huwezi chomoka, kuna watu hawaachiki omba sana asiwe huyo mwamba.

na hivi ana pesa ndio ume bugi meen,akiamua kukuganda atakuoa tu na hivi unamuogopa hujui unamuachaje ndio tamu hiyoo...

Ki ufupi pambana na mu arobaini wako, ila wewe nawe kajinga kwani sura unaungaga kwenye mboga?

au sura yake unaiwekaga kwenye handbag yako?

Njoo kwangu sasa HB matata halafu nakunywesha uji wa sembe day n night tuone kama hujamkumbuka MPOKI wako.

Najua tunafurahishana hapa ila huna uwezo wa kumuacha kisa sura mbaya,sema mengine. Ndio ushafika hiyo.

Mrs Mpoki.
 
Kuna mitego ukiingia huwezi chomoka, kuna watu hawaachiki omba sana asiwe huyo mwamba.

na hivi ana pesa ndio ume bugi meen,akiamua kukuganda atakuoa tu na hivi unamuogopa hujui unamuachaje ndio tamu hiyoo...

Ki ufupi pambana na mu arobaini wako, ila wewe nawe kajinga kwani sura unaungaga kwenye mboga?

au sura yake unaiwekaga kwenye handbag yako?

Njoo kwangu sasa HB matata halafu nakunywesha uji wa sembe day n night tuone kama hujamkumbuka MPOKI wako.

Najua tunafurahishana hapa ila huna uwezo wa kumuacha kisa sura mbaya,sema mengine. Ndio ushafika hiyo.

Mrs Mpoki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.

The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.

Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.

Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
Jiandae kumemenwa
 
Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori.

The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha.

Kanifanyia makubwa sana hapa mjini. Nilimuahidi mwakani ndiyo tutaoana, sasa hivi ana-push kwamba apeleke barua home kwetu after two weeks, ndiyo maana nataka nichomoe kiaina.

Nipeni mbinu. Nimpe makavu laivu kwamba wewe mpori pori, nim-block ama nisijibu wala kupokea sms zake?
mpe mku ndu
 
Nilikuwa sijui Kuna umri ukifika haujali muonekano wako kabisa!Yani ni Raha tu hata ungekuwa kama sokwe[emoji3][emoji3]but uko sahihi kwa Sasa!
 
Nani alikwambia kwenye ndoa mnakula sura na picha kwenye mitandao unaangalia life partner sio mitandao,wengine hamtumiagi akili mitandao italipa bills,watoto wapate malezi mazuri na waliende shule nzuri,kweli akili ni nywele Kila mtu na zake
 
Nani alikwambia kwenye ndoa mnakula sura na picha kwenye mitandao unaangalia life partner sio mitandao,wengine hamtumiagi akili mitandao italipa bills,watoto wapate malezi mazuri na waliende shule nzuri,kweli akili ni nywele Kila mtu na zake
Hata shangazi yangu aliniambia maneno kama haya nilipokuwa namkataa huyu mporimpori wakati ananichumbia.

Mpk kesho namlaumu shangazi yangu kwa kunishawishi kutumia maneno haya. Muonekano na photogenicity ni muhimu sana
 
We pumbavu laana za kumtukana Magufuli mkaa unakusubiri nyama we,
wewe unamuita mtoto wa mtu mporipori we nani kwanza.
Huyo fala mwenzio unayemuita HB mtakula picha?
Ngoja jamaa asome hii nyanyapaa yako akili imkae sawa.
alafu utakuta kidemu chenyewe cha kifwalafwala tu kujimwambafai hapa.
na nyie maporipori muache kushobokea hivi vikalunguyeye humu Jf na visenti vyenu,
ona sasa zarau hizi wakati kuna madem standard wa kuchomoka nao sasa tunaonekana wote mapoyoyo humu.
 
Utakufa wewe au atakufa yeye au vitatokea vyote kwa pamoja
 
IMG_9526.jpg
 
Huu ushauri ungewaomba wazazi wako waliokuwa na jukumu la kukulea wakamuachia jukum mtoto wa mwenzao halaf leo unataka ushaur kwetu.
Sema tu ukumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom