America is fast becoming a third World country

America is fast becoming a third World country

You are an intelligent mind,thankyou.Infact mimi naiona America as a failed state already,mifumo yote inakuwa dismantled.I feel sorry for Americans.
Bwana Mathanzua leo naomba nikiri kuwa kati ya watu nilikuwa nawaona wa hovyo humu ndani ni pamoja na wewe,hasa kwenye hizi mada zako.

Lakini nikajipa muda wa kutafakari madai yako na kile kinachoendelea duniani nikabaini kwa kiasi kikubwa upo sahihi.
Mfano kulikuwa na umuhimu gani wa hizi chanjo? AU kelele vitambulisho vya utaifa? simu kwa vidole? Ndoa za jinsia na ushoga kuwa eti ni moja ya haki!! kubadili jinsia nk.
Nikabaini lazima kuna kitu na si kingine bali ni hiyo NWO
 
Bwana Mathanzua leo naomba nikiri kuwa kati ya watu nilikuwa nawaona wa hovyo humu ndani ni pamoja na wewe,hasa kwenye hizi mada zako.

Lakini nikajipa muda wa kutafakari madai yako na kile kinachoendelea duniani nikabaini kwa kiasi kikubwa upo sahihi.
Mfano kulikuwa na umuhimu gani wa hizi chanjo? AU kelele vitambulisho vya utaifa? simu kwa vidole? Ndoa za jinsia na ushoga kuwa eti ni moja ya haki!! kubadili jinsia nk.
Nikabaini lazima kuna kitu na si kingine bali ni hiyo NWO
Okay,nashukuru kwamba nimekusaidia.Tatizo la Watanzania ni kwamba sio wasomaji wazuri na we believe the Goverment is our friend,sio.Mtu mwingine cannot think on your behalf,never,hasa the NWO cabal,ambao ndio wanaoitawala dunia.Hawa ni vibaka na wauaji Kama wengine tu,tena wauaji wabaya.This means kuwaamini kwa lolote,iwe ni kwenye chanjo au chochote kile ni uzuzu wa hali ya juu sana.

Nashukuru nimekutoa kwenye uzuzu,ngoja nikazane nitoe wengine,ila kazi ni ngumu sana kwa kuwa watu wamepofushwa sana.
 
Marekani inawezwa kupitwa na taifa kama China kwa miaka kadhaa ijayo ila haitakuwa hata second world country achilia mbali third world country kwa miaka 50 na zaidi ijayo.
Majibu ya hayo maswali ndio yatakuonesha dira kuwa rise ya U.S.A tayari ilishatokea miaka mingi iliyopita Ila fall yake haiwezi kutokea siku za usoni iwe ni miaka 10 au hata 30 bado marekani ana nafasi ya kuendelea kuwa super power labda miaka 50 na 100 ijayo
 
Okay,nashukuru kwamba nimekusaidia.Tatizo la Watanzania ni kwamba sio wasomaji wazuri na we believe the Goverment is our friend,sio.Mtu mwingine cannot think on your behalf,never,hasa the NWO cabal,ambao ndio wanaoitawala dunia.Hawa ni vibaka na wauaji Kama wengine tu,tena wauaji wabaya.This means kuwaamini kwa lolote,iwe ni kwenye chanjo au chochote kile ni uzuzu wa hali ya juu sana.

Nashukuru nimekutoa kwenye uzuzu,ngoja nikazane nitoe wengine,ila kazi ni ngumu sana kwa kuwa watu wamepofushwa sana.
Na ni wabishi kwelikweli,jitihada njema
 
Marekani inawezwa kupitwa na taifa kama China kwa miaka kadhaa ijayo ila haitakuwa hata second world country achilia mbali third world country kwa miaka 50 na zaidi ijayo.
Ni sahihi mkuu marekani anaweza aka fall Kama ambavyo zili fall empire zengine lakin hawezi kuwa second au third world country. Pia ku fall kwa Marekani kunahitajika kazi nzito kwa anaye mkimbiza maana sio kazi rahisi
 
Unajua,ni ajabu kwamba you guys do not appreciate these obvious facts.There is only one reason for this,hamsomi.Ikiwa viongozi wenyewe wa Marekani,na hata the NWO cabal inakiri kwamba ni kweli,who are you to say it will not happen.Let me remind you that there is no major manufacturing going in the US at the moment,viwanda almost vyote vimehamishiwa China,except for the Military Industrial Complex.Acheni ushabiki wa kijinga,America is in a state of decay.
Hivi unajua ni kwanini U.S.A amepeleka viwanda China ? NA ni mwaka gani hasa U.S.A alianza kupeleka viwanda China ? Na kwanini U.S.A hakupeleka Viwanda china kabla ya huo mwaka? Unafahamu kuhusu sera ya China ya reopening to the outside world ilianza mwaka gani? Unafahamu economic reform ya china ilianza mwaka gani ? Unadhani ni marekani pekee ndiye aliyewekeza viwanda China? Unafahamu ni viwanda vingapi vya marekani vipo India, Vietnam ? Unadhani ni yupi aliye muuitaji ziadi mwenzake kwenye swala la uwekezaji wa kiviwanda kwa huo mwaka ni china au ni U.S.A?
 
Dah! Siku hizi uki log out JF kwa muda kisha ukirejea, unakutana na vitu hilarious kwelikweli!
 
Nchi unayosema inaelekea kuwa third world mwaka 2020 kwenye COVID-19 Chairman wao wa Federal Reserve Bwana Jerome Powell alitoa karibia dola za Marekani trilioni mbili kama stimulus package kwa raia kupunguza makali ya janga hilo. Hiyo ni zaidi ya trilioni 4,660 za kibongo. Kuna third world country inaweza toa hata 0.001 ya hiyo?

Ebu amka ndotoni kijana. Marekani ina bases zaidi ya 52 za kijeshi duniani, hakuna nchi ina hata military bases 3 nje yake. Kwenye G20 kuna nchi kibao zinahost majeshi ya Marekani kwao. Germany, Australia, Japan, South Korea.

California ina uchumi unazidi Russia. California ingekuwa ni nchi huru inajitegemea ingekuwa kama sio ya kumi duniani ni ya kumi na moja. Hapo hujataja majimbo mengine kina Texas yaliyojaa mafuta. Ebu acha ujinga
Usisite kuendelea kumuelewesha.
 
Huyu kijana amekuwa kama mwehu ukisoma nyuzi zake zote. Kila kitu duniani kwake yeye a akitizama kwa jicho la nadharia tete. Anasikitisha sana.
Nakuona Jasusi Uchwara unanyapia nyapia....
 
Hu
Mkuu nikuulize maswali machache :-
i, Unafahamu kuwa marekani anaimiliki millitary base ngapi duniani?
ii, Unafahamu hizo millitary base anazo miliki marekani anamiliki kwenye nchi ngapi ?na kiasi gani Cha fedha anazifadhiri hizo nchi kwa yeye kuweka millitary base?na namna gani anaweza kuzihakikishia usalama hizo nchi?
iii, Unafahamu kuwa marekani anatoa mchango wa asilimia ngapi kwenye mashirika ya Umoja wa mataifa mfano shirika la afya, chakula ,wakimbizi n.k?
iii, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iitwe dunia ya tatu ?
iv, Unafahamu ni sifa zipi za kiuchumi nchi inatakiwa kuwa nazo ili iwe dunia ya kwanza?
iv, Unafahamu budget ya fedha ya mwaka ya marekani ni ipi na nchi za dunia ya tatu budget zao ni zipi?
V, Unafahamu marekani yupo kwenye ushirikiano na muungano mingapi ya kiuchumi na kijeshi na anachangia kifedha kwa asilimia ngapi tofauti na wenzake?
Vi, Unafahamu ni mataifa mangapi marekani anayafadhiri kiuchumi duniani kupitia misaada na mikopo?
Vii, Unafahamu ni mabenki makubwa mangapi duniani marekani anaimiliki?
Vii, Unaifahamu GDP ya Marekani Ni ngapi?
Viii, Unafahamu ni mataifa mangapi yanamtegemea marekani kiulinzi pia na Kisayansi na teknolojia?
ix, Unafahamu budget ya ulinzi ya marekani ni kiasi cha fedha kumlinganisha na mataifa ya dunia ya tatu?
X, Unafahamu GDP ya china Ni ngapi na ni miaka mingapi ijayo China imepanga kumfikia marekani kiuchumi ?kwa sababu huyu pekee ndio anayemfukuzia marekani kwa ukaribu zaidi
Xi, Unafahamu marekani anaushawishi kiasi gani duniani?
Xii, Unafahamu marekani ameweka kiasi gani cha fedha na dhahabu?
Xiii, Unafahamu taasisi ngapi zinazo ongoza nchi ya marekani ? uimara wake ulivyo pia unafahamu?
Xiv, Unafahamu ni kwanini China licha ya kuwa na uchumi mkubwa na ushawishi sehemu mbalimbali dunia bado hajaweza kumwangusha marekani Ila bado anamtegemea marekani kiushirikiano mbalimbali wa kibiashara pamoja na Kisayansi na kiteknolojia?
Xv, Unafahamu ni mifumo mingapi ya kiuchumi dunia imeshikiliwa na marekani na washirika wake mfano kibiashara, kifedha, kiteknolojia n.k
Xv, Unafahamu ni viwanda vingapi marekani anamiliki ndani na nje ya nchi yake vinavyokuza uchumi wake?

Ni hayo tu maswali machache niliyonayo ninaweza kukuongezea mengine Kama kutakuwa na ulazima wa mimi kufanya hivyo
Huyo jamaa bilaa shaka atakua anaswali sala 5
 
Usinikumbushe ushenzi huo niliofundishwa shuleni,Mimi Sasa nime erevuka sio yule.Kama wewe umebaki kwenye ujinga ule ule, sio mimi.Zile tunaziita "enslavement protocols."
Elimu ya madrasa imekuharibu sana
 
Back
Top Bottom