Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Huyu mama ndio mfano halisi wa wazazi wa kiAfrica yani unataka kufungia 80M as if hauna ndugu na jamaa wanashida husikute ata watoto bado wanaitaji boost kwenye maisha yao. Nimeshindwa kuelewa uelewa wa wazee wetu wa kiAfrica yani huu ubinafsi ndio unaturudisha nyuma sana.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Mabinafsi kweli asee

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mstaafu hata afanyeje hiyo hela itatumika na itakata tu. Kuna laana fulani wastaafu lazima wapitie ya kupata hela nyingi na mwisho kuishia kuwa tegemezi kwa watoto wao na mwisho kufa wakiwa hawana hata sh, 100. Yeye ni nani aruke hizo stages
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Nimecheka kingese

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mie Mama yangu alistafu mwaka Juzi alipata 92.5 M tupo watoto 4 moja mwanafunzi nikamwambia Mama tukopeshe hizo pesa sisi 3 tufanye tufanyie biashara tuondokane na umasikini,kilichotokea hakuna hata moja aliyopewa hata shilingi 100.
Leo hii kila siku ananiomba hela ya kula!
Haahaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji1787]

Inauma sana lkn!

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Yaan Ale lak4 kwa mwezi...mfano bi mkubwa ana miaka 60 anakaa miaka 8 tu anadanja..wanakuja rith wajinga wajinga.....ni upumbavu
Miaka 8 tu? Mbona umemchukulia poa sana kwanini asitoboe 80?
Bi mkubwa anachotaka nu fao lake limtunze for the rest of her life, mimi naona hii ni option nzuri zaidi
 
Awekeze kwenye hati fungani za serikali za miaka 20 au miaka 25 awe anakula interest ya 15% au zaid kwa mwaka.

Ambayo ndiyo almost hiyo 700k monthly anayoitaka lakini atapewa kwa mara moja. Makampuni ya simu hayana hii huduma kwao atakuwa ameinvest kwenye business so returns ni kutegemea na faida au hasara iliyopatikana hakuna guarantee wakati huku kwenye hati fungani (Bonds & TBs) malipo ni guaranteed hakuna risk.
 
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Aende benki yoyote ya posta iliyo karibu nea,wanatoa 13% kwa uwekezaji ktk fixed deposit kwa mwaka,staff mwenzangu kastaafu nwaka jana kaweka huko mil100 kila mwezi analamba 1,083,000/= na pensheni ya 700k hivyo kuvuta jumla ya 1783K kwa mwezi,kwa hyo anaishi kama bado ana ajira vile.Hivyo kwa yeye akiweka angalau hata mil 60 hakosi pesa ya kuweza kumsogeza vizuri tu ktk maisha yake.

Huyo ndugu yako asirogwe kununua treka au gari za biashara,ni liabilities hizo
 
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Nimepitia huu uzi nimegundua mama pamoja na wew hamna elimu ya fedha yaani financial knowledge, pia nimepitia comments za wengi humu ila ninakubaliana na wanaokushauri uende kununua hati fungani bank kuu kawni hizo zina uhakika na risk yake ni ndogo au naweza kusema haipo. mfano hiyo 80m akinunua bond za miaka 20 atapata 80*15.49% = 12,392,000 kwa mwaka ambayo kwa wastan ni milioni moja kwa mwezi ataishi kwa aman na kwa sabab ana biashara zinamuingizia kipato akichanganya na pension atakayokuwa anapewa hata pata shida kabisa. Hiki mim ndio ninachofanya wanangu wanasoma shule ninayotaka pamoja na kwamba nafanya kazi ya kawaida sana ukitaka ushauri namna ya kufika huko ntakupa bure.
 
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Bank savings account atapata riba ya 8% law mwaka ni si zaidi ya hapo ambayo kwa mwaka atalipwa 6.4m sawa na 535ktsh. Option nzuri anunue government securities ambayo ataweza pata hadi 15.9... %kwa mwaka netting twice as much yani 12.72m kwa mwaka sawa na 1.06mtsh kwa mwezi na wanakupa every six month baada ya uwekezaji. Tembelea tawi la stockbroker yoyte posta uweze saidiwa
 
*Anunue nyumba mbili,moja iwe guest house na nyingine aipangishe aidha awe na guest mbili mbona atapata mpaka 3mil.(chakuzingatia ni locations tu) na hapo sishauri labda kwa malipo KIDOGO...
Sio shauri zuri, sehem ambayo atapata nyumba ya 40m sijui wapi kwa dar hii. Labda mkoa . Biashara ya nyumba ya kupangua inahitaji ujuzi si wa kukurupuka . Hasa kwa hela za kustaafia utamlaza na njaa. Ni heri na guest location iwe ya maana. Yeye mzee sasahivi hahitaji biashara ya kusimamia bali anahitaji sehemu tulivu ya kuhifadhi fedha take huku ikikua au kujipatia kipato ndani ya mda fulani. Hisa si busara kwa Tanzania mana soko la hisa ni bovu na lina challenges nyingi. Hati fungani au bank ndo sehemu nzuri ila kwangu mm hati fungani ndo chagua zuri. Rate kubwa na kila miezi sita unapata gawio lako na pia unaweza kuuza ukitaka na baada ya mda kusiha unarudishiwa fedhha yako yote yote
 
Kwanini analazimisha laki saba kwa mwezi..ila kwanini usiambatane naye au watoto kama ni wasomi wazuri na wakubwa waende naye benki zote wakafanye negotiations, mtembelee benki zote mwisho wa siku mtakua mmeshajua muweke wapi kwa makubaliano ya kiasi ambacho kitazidi benki zote ambazo mtakua mmeshafanya mazungumzo na kuzitembelea, lakini sio kutamka laki saba hata benki hamjaenda,
Hamna benki itakupa zaidi ya 8% kwa mwaka
 
Mpe hongera inaelekea alikua na kamshahara c haba. Mwambie aende nmb wana huduma ya kuweka fixed deposit kwa wastaafu wanatoa interest 7.5% kuanzia milion 10 mpaka 30.

Na 8% kuanzia 31m mpaka 50m na kuanzia 51 m nayo pia kuna rate yake kwa muda wa miaka 2 maxmum. Na kila mwezi unapata faida kutnka kwenye calc ambayo watakufanyia mfano mm kuna mtu ameweka kama zaid ya m 50 na kila mwezi anapata faida ya zaidi tsh. Laki 3.

Ukichangamya na sehdemu ingne aliyowekeza fedha ingme anapata kama laki 2 na pension ya kila mwez anapata kama m 1.2 hzo ni faida tu ila fedha yake ipo pale pale. After 2 years anaweza kuwerenuew tena.

Huo ni mfano halisi nenda nmb watakupa maelezo. Kaz njema.
Yes hiki kitu ndo alichofanya baba angu mkubwa. Uko sahihi kwa maelezo yako.
 
Huyo mstaafu hata afanyeje hiyo hela itatumika na itakata tu. Kuna laana fulani wastaafu lazima wapitie ya kupata hela nyingi na mwisho kuishia kuwa tegemezi kwa watoto wao na mwisho kufa wakiwa hawana hata sh, 100. Yeye ni nani aruke hizo stages
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mie huwa nashangaa sana, sijui huwa wanapatwa na nn yaan
 
Mimi nimeelewa kitu kimoja. Huyo mama hawezi kuthibiti matumizi yake hivyo anataka kuweka pesa sehemu kisha apewe 700,000 taratibu mpaka siku ikiisha yote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee khaaaah.
 
Mie Mama yangu alistafu mwaka Juzi alipata 92.5 M tupo watoto 4 moja mwanafunzi nikamwambia Mama tukopeshe hizo pesa sisi 3 tufanye tufanyie biashara tuondokane na umasikini,kilichotokea hakuna hata moja aliyopewa hata shilingi 100.
Leo hii kila siku ananiomba hela ya kula!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wee khaaah
 
Mie Mama yangu alistafu mwaka Juzi alipata 92.5 M tupo watoto 4 moja mwanafunzi nikamwambia Mama tukopeshe hizo pesa sisi 3 tufanye tufanyie biashara tuondokane na umasikini,kilichotokea hakuna hata moja aliyopewa hata shilingi 100.
Leo hii kila siku ananiomba hela ya kula!
92.5M anashindwa kuwapa watoto wake wa kuzaa hata laki moja kila mtu? Huyo mama ni kiboko.
 
Back
Top Bottom