Rais ajaye? Kwa akili zipi alizonazo kuchwani? Kwa afya gani aliyonayo? Au unajifanya hujamuona alivyopauka usoni? Kitu kimamtafuna taratibu tuAmewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Sio yeye huyu humuoni alivyo badilika tu? Amedhoofu sana!Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Shoga asiyedidindisha mashine HAWEZI kamwe kuwa Rais wa nchi hii.Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae!
Inawezekana aliteleza kidogo, mbona mnachukulia serious hivyo...britanicca njoo uone huku Jamaa yako anakuvua nguo hadharani huku kwamba Wewe umewalisha matangopori wadau sasa wanauguza matumbo yako km mkeka basi huu umechanika
Hii kauli yako ni bora ungekuwa wa kike lakini wa kiume ni hatari angalia ndugu pesa isije tweza utu wako usikubali kila kazi kisa unalipwaMi kikubwa nalipwa tu..
Hata wakiniita chawa poa😁😁😁🙏🙏
Kwahiyo waliompa sumu ndo hao hao waliompeleka Nairobi kutibiwa? Maajabu haya...Inasemekana ccm walimnywesha kweli sumu lakini wakampeleka Nairobi Kwa Siri kuondolewa sumu na akapona.CCM ni wakatili sana.Tushukuru tu amepona lakini ccm wabaya sana
Tuwaulize ccm ndiyo wanajua Nia ilikuwa nini.Kwahiyo waliompa sumu ndo hao hao waliompeleka Nairobi kutibiwa? Maajabu haya...
Nia ya kumpa sumu ilikuwa ni nini mkuu?
Makonda amekonda sana...amebaki na tako tu, Mungu azidi kumpambania mbele ya watesi wakeAmewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Wewe unamuona mzima pale alipo? Na akijakusema yeye mwenyewe kuwa aliwekewa sumu kweli utasemaje? Na kwani mtu akilishwa sumu lazima afe? JPM enzi za uhai wake aliwahi kusema alilishwa sumu lakini alinusurika, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa aliwahi kueleza umma kuwa Mzee Mangula alilishwa sumu lakini Mzee Mangula mpaka leo yupo anadunda.Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Hata lile sambwanda limechuruzika ndiyo maana jana alivaa yale manguo ya kuficha ficha mwili wake, yule ametoka kwenye kupigania maisha yake.Makonda amekonda sana...amebaki na tako tu, Mungu azidi kumpambania mbele ya watesi wake
Lisemwalo lipo na kama halipo?Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
hivi ni kweli alikuwa amepewa sumu au alikuwa likizoAmewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.