Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi? Kwa Makonda mtanyooka

Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi? Kwa Makonda mtanyooka

Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Rais ajaye? Kwa akili zipi alizonazo kuchwani? Kwa afya gani aliyonayo? Au unajifanya hujamuona alivyopauka usoni? Kitu kimamtafuna taratibu tu
 
Makonda angekuwa hata mjegeje wake unafanya kazi tungesema anakudinya ila ndio hivyo una vinasaba vyakuahobokwa wanaume ...
 
Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Sio yeye huyu humuoni alivyo badilika tu? Amedhoofu sana!
 
Yani mtu ajifiche mwenyewe, atengeneze kiki mwenyewe kuwa kapewa sumu halafu wewe na korodani zako mbili uje hapa kumwaga sifa kabisa😃😃😃😃.

Nyie ndio mnaopiga watu wanaoigiza uchawi kwenye movie kwa kudhani ni wachawi kweli.
 
Inasemekana ccm walimnywesha kweli sumu lakini wakampeleka Nairobi Kwa Siri kuondolewa sumu na akapona.CCM ni wakatili sana.Tushukuru tu amepona lakini ccm wabaya sana
 
CCM mafundi sana wanakulisha sumu kisha wanaamua kukutoa sumu halafu wanakwambia ukirudia mbwe mbwe zako tukikuwekea hatutatoa na ukitoka hapa kakae kimyaaa
 
Inasemekana ccm walimnywesha kweli sumu lakini wakampeleka Nairobi Kwa Siri kuondolewa sumu na akapona.CCM ni wakatili sana.Tushukuru tu amepona lakini ccm wabaya sana
Kwahiyo waliompa sumu ndo hao hao waliompeleka Nairobi kutibiwa? Maajabu haya...
Nia ya kumpa sumu ilikuwa ni nini mkuu?
 
Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Makonda amekonda sana...amebaki na tako tu, Mungu azidi kumpambania mbele ya watesi wake
 
Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Wewe unamuona mzima pale alipo? Na akijakusema yeye mwenyewe kuwa aliwekewa sumu kweli utasemaje? Na kwani mtu akilishwa sumu lazima afe? JPM enzi za uhai wake aliwahi kusema alilishwa sumu lakini alinusurika, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa aliwahi kueleza umma kuwa Mzee Mangula alilishwa sumu lakini Mzee Mangula mpaka leo yupo anadunda.
 
Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Lisemwalo lipo na kama halipo?
 
Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
hivi ni kweli alikuwa amepewa sumu au alikuwa likizo
 
Back
Top Bottom