Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Rais ajaye? Kwa akili zipi alizonazo kuchwani? Kwa afya gani aliyonayo? Au unajifanya hujamuona alivyopauka usoni? Kitu kimamtafuna taratibu tuAmewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.