Amezaa na mume wa mtu, katelekezewa mwanaye

[emoji1318]
NJE YA MADA:
[emoji1313]
[emoji41][emoji41][emoji41]
ASANTENI DADA ZETU KWA KUZALIA NYUMBANI,
MAANA TUNAPATA WAJOMBA WA KUWATUMA BANGI!!!
Nasubiri huyu mjomba wangu akue[emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787]
 
Mond Gani tena?
 
Kama ni mshkaji wako basi sawa.
 
Michepuko, michepukooooooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Wanahimarisha sana ndoa hao, maana ukikosa kupata huduma nyumbani unalala tu kwa amani kesho yake unaita mchepuko unapungiza uzito maisha yanasonga
 
Wapuuzi hao..unazaa mwishowe mtoto anafichwa km ARVs ht ndugu hawamjui ni wapuuzi yaani wanawake baadhi ni wabinafsi mnoo,anaangalia starehe na status but we don't check our kids happiness anapowafahamu ndugu zake kwa baba Bora kuwa single mama kuliko kuzaa na Mme wa mtu
 
Wanahimarisha sana ndoa hao, maana ukikosa kupata huduma nyumbani unalala tu kwa amani kesho yake unaita mchepuko unapungiza uzito maisha yanasonga
Nafasi ya mchepuko katika jamii[emoji23]
 
Sure thing [emoji1666]
 
Hii habari yako iko wazi inamhusu huyo huyo mdada na huyu mtoto sio kwanza kwake. Na huyo sio dada yako umezuga. Dr.criminal mmmmhhhh kuna ishara hapa
Mpuuzi huyo dada good enough alishakuambia hataki mtoto,shida ya visichana vya siku hizi kupenda maisha mazuri wasiyoyatengeneza,kakuambia hataki mtoto mle Bata tu..how dare kakabeba mimba?afu unaazaje na Mme wa mtu?
Wajinga tu muache ale jeuri yake,Mnaosoma mniwie radhi km ntakua nimewagusa Ila hata Binti yangu akizaa na Mme wa mtu ntamshangaa Sana aseehh
 
Exactly,,me kwenye kupiga nae story nikamuuliza kwann ulitoka na mme wa mtu wakati vijana kibao tu wanakuitaji,, akanijibu"Mme wa mtu anamwaga Salio,hawazi mara mbili".
Mme wa mtu kula gud time,meza P 2 sepaaa..kuzaa akazae na mkewe ,baasii
 
Kiukweli Mimi siombei yanikute......maana hiyo ni kama ajali Tu.....lakini ikitokea nikampa mimba binti WA watu sikatai hata kama Nina mke sema tutaingia makubaliano maalumu jinsi ya kuishi Ila sitaki kero Kwa mke WA ndoa....maana Yule ndio mwenye haki zote........sema mchepu sitoutupa maana mimba akujipa MWENYEWE as long as mtoto amezaliwa na DNA check iko poa..........hapo itakuwa hamna jinsi......
 
mtu anakuambia usimletee habari za mimba, mean kwamba hana malengo na wewe na still bado unaenda kumpanulia miguu[emoji848]

Dah! nikiitwa mwanamke napigana, na nitapiga mtu sio kwa sababu sipendi hiyo jinsia ila tu sipendezwi na akili zao.
Mwisho umekosea mnoo kumbuka umezaliwa na mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…