Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rahisi kuongea ila Ile tension kajitahidi sana kwanza kitendo Cha kubadili maamuzi na kukubali goli haikuwa rahisi amejitahidi mno.Refa mpuuzi kuliko maelezo, penati ya kijinga mno, goli linafungwa anasema kona yaani vululuvululu
Ni kweli ila Ile tension kwa refa wa kawaida aisee unaweza kugawa kadi kama njugu maana kaoga matusi yote kasukumwa sana kajitahidi kuwa mvumilivu kwenye maamuziKweli kabisa mechi ilikuwa ya vurugu kubwa. Penati ilitakiwa irudiwe kupigwa, mchezaji wa Biashara aliingia kabisa ndani ya box. Sio goli halali.
Kajitahidi kivipi?Wakuu hii game imekuwa tough sana fujo za Kila aina nimemuonea huruma kimsingi amejitahidi kwa uwezo wake
Kaka ule mpira umeingia kambani tatizo nyavu mbovu. Ila penati kwa maoni yangu haikuwa halaliKajitahidi kivipi?
Penalti imeokolewa aalafu amasema goli! Aibu kwake na kwa TFF.
Tabora sijui wamewakosea nini TFF.
Mechi ya kwanza ya playoff nayo walionea.
View attachment 3015682
Nakataa, mpira aujaingia kambani.Kaka ule mpira umeingia kambani tatizo nyavu mbovu. Ila penati kwa maoni yangu haikuwa halali
Penalty ile siyo kabisa. Ndugu zangu wanarudi mtoka pabaya.Kaka ule mpira umeingia kambani tatizo nyavu mbovu. Ila penati kwa maoni yangu haikuwa halali
Acha ubishi chief penaty Imeingia wavuni ni vile nyavu zimemtatiza refa Hadi pale alipokuja rekebishwa na kibendera wake maana yeye ndo alikua angle nzuri yakuona tukio ZimaKajitahidi kivipi?
Penalti imeokolewa aalafu amasema goli! Aibu kwake na kwa TFF.
Tabora sijui wamewakosea nini TFF.
Mechi ya kwanza ya playoff nayo walionea.
View attachment 3015682
Hili hata Mimi nililiona na jamaa angu tulokuwa tunaangalia naye.Ila refa kaharibu hii mechiKweli kabisa mechi ilikuwa ya vurugu kubwa. Penati ilitakiwa irudiwe kupigwa, mchezaji wa Biashara aliingia kabisa ndani ya box. Sio goli halali.
Hao wadada wajinga sana wakiongozwa na Tatu Malogo....Hili hata Mimi nililiona na jamaa angu tulokuwa tunaangalia naye.Ila refa kaharibu hii mechi