mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
He hii ni afya kwa mustakabari wa taifa au matumbo ya watu wachache?,hii ndio maana leo hii tunaona wabunge haohao waliopitisha muswada flani bungeni nao wakija mtaani wanaanza kulalamikia huohuo muswada walioupitisha.Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR
acha uongo marekani hakuna siasa za kuendekeza matumbo over people's interestsCcm peke yake ndo inasiasa Kama za nchibya malekani,wanaweza kuvurugana weee, lkn dk moja tu inatosha kuwarudisha wakawa na lengo moja!!
we unafikiri Hilo ni la kujivunia kumlinda raisi ili kuwe na amani kwa gharama ya umasikini wa wananchiMkumbuke tu kumlinda Rais ni jukumu la kila raia maana ndiyo kulilinda Taifa...Tanzania imefanikiwa sana kwenye kutunza amani kwakua Rais analindwa; tukivurunda hapo tutapata majuto...Yes Rais kama individual anaweza kuwa na weakness yake lakini tuheshimu nafasi yake yenye utaasisi...Ni kukosa akili kuanza kuivuruga taasisi ya u Rais...
Sawa mkuuNaomba namba yako
Huo mkono unao? Mbona unalia Lia mitandaoni badala ya kudhibiti? Punda mna shida sana.Imenisaidia kujua unafiki na ubinafsi wa baadhi ya watanzania, na njia bora kuyadhibiti haya magenge ya kihuni ni mkono wa chuma
Kosa moja halihalalishi kola la pili, tumeelewana?SUBIRI AFUFUKE MAGUFULI MWEHU WEWE. We kila mchango wako jukwaani ni KUMKASHIFU Rais Samia, kisa DINI YAKE?? Au UZANZIBAR wake au UWANAMKE wake??? Mbona MAGUFULI ALIKUWA MSUKUMA ASIYESHAURIKA NA WATU TULIVUMILIA? acha chuki boya wewe.
Upinzani ni watz na siyo chamaShida ya upinzani hawajielew..
Bado hatujapata chama makini cha upinzani..
Una chuki za kike mzee, mwanume kuwa na chuki kiwango hiko ni hatari kwa makalio yako. Fanya kazi, chuki hazisaidii, hata hivyo Mama Samia tayari ameshakuwa Rais hakuna wa Kumshtaki, akitoka atalipwa 80% ya mshahara wa Rais hadi anakufa nk.Kosa moja halihalalishi kola la pili, tumeelewana?
Umeandika nini hapa?Upinzani ni watz na siyo chama
Sasa unashindwa kutoa hoja unaleta vihoja, kwani wanawake Sio binadamu? Jadili hoja maana unajidhalilisha tuUna chuki za kike mzee, mwanume kuwa na chuki kiwango hiko ni hatari kwa makalio yako. Fanya kazi, chuki hazisaidii, hata hivyo Mama Samia tayari ameshakuwa Rais hakuna wa Kumshtaki, akitoka atalipwa 80% ya mshahara wa Rais hadi anakufa nk.
Wewe ni MWANAMKE na ukute umevaa Dela bila chupi.
Oya kashachomesha jamaa yako huko au kuna mwengine zaidi yake?Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi nimekosa sana"Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Nimekosa mimi, nimekosa mimi nimekosa sana"
Hujamwelewa kabisa mtoa mada....... Anaamanisha kutakuwa na vita kubwa kati ya wanaoelekea kupoteza na wale wanaojiona bado wana kete ndani ya CCM ...Kitu ambacho hujui siku zote ccm hulinda maslahi yake kwa kukutaa na kuandaana na kumaliza tofauti zao kisha wakaingia jimboni kama kitu kimoja
USSR
Ipi hiyo,alete katiba mpya basi chap7.Rais Samia anaonekana ni mwana Demokrasia kuliko mtangulizi wake
Hii ni thread ya kijinga sana. Huwajui wanasiasa wewe. Yaani mtu aache kuwa chawa wa mtu aliye Ikulu instead akawe chawa wa marehemu aliyezikwa Chato? Sukuma Gang mnaumwa Post Trauma Stress Disorder baada ya kufiwa na Dikteta wenuWapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Baada ya bunge la muhula huu, Ndugai alishasema anaachana na siasa...
Sioni haswa sababu ya Job kuanza kuleta fujo isiyo na maslahi yoyote kwake...
Umejiona sasa kama ulikuwa mjinga?Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!
Na exactly ndicho alichofanya Ndugai leo.Kwani Rais akitaka si anapangua tuu shida iko wapi?
Uache kupigania unapokula uje kupigania marehemu,una kichaa labda.
Alitaka alete jeuri wakati ana njaa,huko Serikalini hakuna anayeweza kujiajiri.Na exactly ndicho alichofanya Ndugai leo.
Tayari ameshaomba msamaha kwahiyo meno yake yameoza guaflaWapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na takwa la JPM.Ki vyovyote vile wanatambua uchaguzi ujao hawatakuwa chaguo la waliopo sasa kwa hiyo wataamua liwalo na liwe.
...Spika na Naibu wake ni takwa la JPM. Patamu hapo!
...PM.
Unajua nini,hii ngoma ni mbichi mno na ni vigumu sana kumtabiri mshindi.Binafsi naacha muda uongee.
NB: 2022 - 2025 lazima shoka liungue mpini ubaki!