Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Ukienda swahili kwa Swahili itapendeza

Kwakuwa umeelewa badilisha kauli yako toa hilo neno Magonjwa mia
 
Hichi ndo kitu kimepelekea unaona Africa Ilipofikia sa hivi.

Tunasafari ndefu sana..

Yaan hata walotuletea hizi dini kuna muda wanatushangaaa
Issue zengine mkuu wala haziitaji dini, kwa wenzetu huko waliyoendelea na kutuletea dini wana mambo kama hayo ila wala hawahusishi dini,uchawi wala Mungu.
 
Hujui usemalo. Mungu akuhurumie tu
 
Go and testify to your gullibles.

This is a public forum.
Jamii forum zone of Thinkers.

Not gullibles.
 
Kama unachosema ni kweli, orodhesha hayo magonjwa 100.
 
Soma Biblia kwa utulivu; majibu ya maswali yako yote utayapata humo!
Hizo ni hekaya kama za Abunuwasi tu.

Biblia nimeisoma kuliko hata wewe.

Kwa hivyo huwezi kunidanganya kitu.

Sana sana utashindwa kujibu maswali yangu uanze kufanya ad hominem fallacy kusema kwamba I'm lacking holy spirit to understand the scriptures. While the scriptures are illogical.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…