Amka mpira unakuibia haki yako ya msingi

Amka mpira unakuibia haki yako ya msingi

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,052
Reaction score
2,995
Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya

Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya

Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya

Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi

baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji

Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji

Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji

Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi

Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji

Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga

Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila

Ninani atasimama kulitetea taifa?

Ninani ata simama kuisimamia serikali?

Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?

Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?

Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"

Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"

Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?

Amka ewe mama was kitanzania

Amka ewe binti wa kitanzania

Amka ewe kijana wa kitanzania

Amka ewe baba wa kitanzania

Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele

Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi

Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo

Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo

Ona sasa.

Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila

Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila

Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga

Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania

Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania

Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania

Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..

Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika

Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia

Mwisho nikuulize

Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?

Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi

Mungu walehemu vijana wa kitanzania
 
Yani umeongea ukweli mtupu.Sisi watanzania ni kama mazuzu aisee..mpira wa Yanga na Simba ndio kama unatumuka kutuzubaisha tusijadili ya msingi hawa wapuuzi sijui walitufanya nn na hizi akili zetu.Tunatawaliwa kiboya sanaa yani kama misukule hatujielewi!
 
Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya

Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya

Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya

Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi

baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji

Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji

Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji

Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi

Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji

Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga

Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila

Ninani atasimama kulitetea taifa?

Ninani ata simama kuisimamia serikali?

Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?

Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?

Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"

Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"

Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?

Amka ewe mama was kitanzania

Amka ewe binti wa kitanzania

Amka ewe kijana wa kitanzania

Amka ewe baba wa kitanzania

Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele

Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi

Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo

Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo

Ona sasa.

Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila

Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila

Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga

Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania

Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania

Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania

Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..

Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika

Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia

Mwisho nikuulize

Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?

Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi

Mungu walehemu vijana wa kitanzania
BADARA YA MPILA
WALEHEMU
Kiswahili kigumu sana.
 
Yani umeongea ukweli mtupu.Sisi watanzania ni kama mazuzu aisee..mpira wa Yanga na Simba ndio kama unatumuka kutuzubaisha tusijadili ya msingi hawa wapuuzi sijui walitufanya nn na hizi akili zetu.Tunatawaliwa kiboya sanaa yani kama misukule hatujielewi!
Mkuu, kwanini nyinyi hamfanyi hayo yasiyofanywa na wapenda soka?
 
Shukuru sana kwenye tasnia ya michezo angalau wanasaidia watu kutoa hangover na headaches za kila siku, tena hapa ni bora wanapata starehe yao instantly kuliko an Opium of the Mass according to Karl Max....

Anyway ukiona duniani watu wanaachana na wanasiasa na kuwasikiliza ni sababu wamekuwa walaghai wasioaminika wajali matumbo yao..., ila wala usihofu Tanzania bado mambo yapo Kosher na watu wana Hope na Kesho yao ikifika wakati generation kama tatu sijazo ambapo watakuwa na nothing to lose with no prospects yatatokea ya French Revolution.... Unless walamba asali wajifunze kula na vipofu (for the sake of their grand children ) sababu mchuma janga hula na wakwao....

Mwisho kabisa mpira usilaumiwe bali ushukuriwe kwa angalau kufanya life ya wengi atleast bearable
 
Kuna Mambo mengi ya ajabu na ya hovyo Yana fanywa na viongozi wetu lakini wanainchi wapo kimya

Kuna mikataba ya hovyo Ina fanyika lakini wanainchi wapo kimya

Kuna billions zinaibwa zinafichwa na mafisadi lakini wanainchi wapo kimya

Watu wanauwawa watu wanatekwa nakutupwa wakiwa mahututi

baadhi ya viongozi wa kisiasa wanabakwa na kuvuliwa nguo nakupigwa picha lakini hakuna wa kuhoji

Maisha mitaani nimagumu mabinti zetu wanajiuza ili kunusulu familia zao lakini hakuna wa kuhoji

Watanzania wame elemewa na mizigo ya Kodi inayo tokana na mikopo isiyo wasaidia chochote Kama wanainchi lakini hakuna wa kuhoji

Tuna madini mito mkubwa maziwa makubwa lakini hakuna wa kuzungumzia hayo bungeni ili kui inua inchi yetu kiuchumi

Walimu, doctors,na wafa ya kazi wengine mishahara yao haikidhi mahitaji yao lakini hakuna wa kuhoji

Bungeni wanaongelea mpila vijana mitaani ndiyo usiseme wazee wako busy na kubeti kina Mama wanacheza Bonanza wapate pesa ya mboga

Yote haya Yana tokana na bongo za watanzania wengi kutawaliwa na mpila

Ninani atasimama kulitetea taifa?

Ninani ata simama kuisimamia serikali?

Ninani atasimama kuwaza Mambo ya msingi ya taifa badara ya mpila?

Ninani atawaamsha watanzania kutoka kwenye usingizi mzito wa mpila?

Mtanza mtu mzima timu yake ikifungwa Ana changanyikiwa, timu yake ikifungwa nyumbani amani hakuna"

Timu yake ikifungwa Hana kingine Cha kuwaza Cha maendeleo zaidi ya kuzungumzia uzembe ulio fanyika mpaka timu kufungwa"

Kwanini tusi tumie bongo zetu kujadili nikwanini tume balikiwa Kila kitu na bado tuna kopa?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kuchambua Nani na Nani wanafaa kukaa kwenye cheo gani serikalini badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie bongo zetu kufikilia nikiongozi gani anatufanya tuna shindwa kusonga mbele Kama taifa badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kuzungumzia nijinsi gani tuna weza kuudhibiti ufisadi au mafisadi wanao tufanya tunaishi maisha magumu badara ya mpila?

Kwanini tusi tumie mda wetu vijiweni kujadili nijinsi gani tuka biliane na utekaji badara ya mpila?

Amka ewe mama was kitanzania

Amka ewe binti wa kitanzania

Amka ewe kijana wa kitanzania

Amka ewe baba wa kitanzania

Taifa lina kutegemea wewe ili lisonge mbele

Taifa linakutegemea wewe uwakosoe na kuwa tiisha viongozi mafisadi

Taifa linakutegemea wewe uupinge utekaji na mauwaji ya watanzania

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkutawala wanalijua Hilo

Huo mpila unaku kuzubaisha usijadili Kodi zako zinazo ibwa na wanao kuibia wanalijua Hilo

Huo mpila unakuzubaisha na wanaonkuibia rasilimali za taifa lako wanalijua Hilo

Ona sasa.

Binti zako wanajiuza wewe una waza mpila

Elimu yako inachaka chuliwa wewe una waza mpila

Unauziwa na kupewa dawa fake unakunywa unaugua upo kimya wewe una waza simba na yanga

Mpila Niki Levi tumia kiasi ewe mtanzania

Mpila niusingizi hauishi utamu amka katafute ewe mtanzania

Mpila ni mwanamke mzuli huwezi mmiliki Kama huna kitu ewe mtanzania

Tumia mpila Kama buludani baada ya kazi sio Kama sehemu ya maisha yako kiasi kwamba usipo zingatia..

Utakufa,utadharaulika,utachekwa,utaaibika

Amka mtanzania wanao kuta Wala na kuku dhulumu na kukuibia wanatumia mpila Kama njia ya kuku fanya usahau maovu wanayo kufanyia

Mwisho nikuulize

Je! Usha wai jiuliza kwanini Mama yako huwa zawadia wale wachezaji wa mpila?

Kama hujui anzia hapo uta vumbua mengi

Mungu walehemu vijana wa kitanzania
Subiria vijana wa ovyo watakavyo kukurushia maneno ya ovyo wakati nchi wanayoishi inasambaratishwa na wahuni.
 
Vijana waki Tanzania tuliletwa duniani tukiwa na lengo moja tu kichwani mwetu. Kushabikia Simba na Yanga

Maendeleo hayatuhusu kabisa tushawaaachia serikali na viongozi ishu za maendeleo.
Hatuko kama vijana wa nchi nyingine
Ukitaka tuingie #Road zuia simba na Yanga

 
Wewe ulichotakiwa kuwaambia watu ni kwamba wafuatilie siasa, mpira hauna kosa lolote

Mpira ni burudani kama burudani zingine

Wanawake watakusupport hapa ila waulize wao mbona wanahangaika na udaku hawafuatilii siasa?
Nikisena hivyo nitakuwa na kosea labda niseme wa focus kwenye maisha maisha Yana weza kuwapa.mwanga kwamba ninini kina wafanya wasifikie malengo

Na ume zungumzia kuhusu Wana wake hapo sja kuelewa kidogo una maana gani je hili Jambo Lina wahusu Wana wake pekee? Na kwanini?
 
Back
Top Bottom