Pre GE2025 Amos Makalla: Mbowe ni dhaifu, anashindwaje kesi na wanawake 19 na kumfukuza Lissu anayedai CHADEMA kimepokea hela chafu!

Pre GE2025 Amos Makalla: Mbowe ni dhaifu, anashindwaje kesi na wanawake 19 na kumfukuza Lissu anayedai CHADEMA kimepokea hela chafu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea


 
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

View attachment 3042468
Hapa ndipo mnapokosea wapeni wananchi habari ya mipango ijayo iliyofanyika pia iwacheni muwafafanulie watu sakata la mpina basi kumtaja mbowe ni kumpa sifa za kisiasa!
 
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

View attachment 3042468
Kwa hiyo wanawake ni dhaifu
 
Inamaana wanawake ni dhaifu au ?🐼

1000011246.jpg
 
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

View attachment 3042468
of course mbowe hafai kwa chochote, anawatumia tu nyumbu.
 
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

View attachment 3042468
Kama viongozi wenyewe ndio wanaotoa hoja hizi ccm Wana hasara kubwa sana
 
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

View attachment 3042468
Think tank ya CCM, huyu hana Idea zingine,
 
Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.

Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”

Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea

Nimeamini Makala ni zaidi ya bumunda!
 
Back
Top Bottom