Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hao ni wana CCM wapo salamaKesi gani tena wakati mahakama ilikwisha thibitisha kuwa si wanachama wa Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wana CCM wapo salamaKesi gani tena wakati mahakama ilikwisha thibitisha kuwa si wanachama wa Chadema.
Makala =Mkaa kwa kisukuma,ukute ubongo wake ni mweusi kama mkaaCCM wengi hawana akili timamu kama Makala
Hana akiliMakala =Mkaa kwa kisukuma,ukute ubongo wake ni mweusi kama mkaa
Tumbo lile na yale mashavu hawezi kuwa na akili timamu.Hana akili
Hatari snTumbo lile na yale mashavu hawezi kuwa na akili timamu.
Minyoo imejaa tumboni mle ndiyo maana hana akiliHatari sn
Ataungua kwanza shetanihivi huyu ndio kila akiwa mkuu wa mkoa masoko yana ungua au subirini kuunguza ccm makao makuu
View attachment 3042804
KabisaMinyoo imejaa tumboni mle ndiyo maana hana akili
Kwani wewe unawashwa nini?.Tafuta mtu akukune ya cdm waachie wenyewe.kuwaita chadema nyumbu ni tusi? kwani uongo? mtu amekalia kiti, analamba asali ila msiojua bado mpo tayari hata kufa kwa ajili yake, mkiiitwa nyumbu wasiokuwa na ubongo wa kufikiri mtasema mmetukanwa?
Yaani Ccm wame poteana hawajui wajibu lipi na waache lipi.Katibu Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM, CPA. Amos Makala amesema Mwenyekiti wa CHADEMA
Freeman Mbowe kama alishindwa kumfukuza Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu @TunduALissu
hana ujasiri hivyo asiwaaminishe watanzania kuwa kuna ujasiri wanapaswa kuwa nao.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara baina yake na wananchi wa Jimbo la Kibamba Makala amesema “kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kesi na wanawake 19 wako bungeni.
Kama Mbowe ni jasiri unashindwaje kumfukuza Tundu Lissu aliyesema chama chako kimepokea hela chafu?”
Pia soma
- Amos Makalla: CCM inasikitishwa sana na hela chafu zilizoingizwa CHADEMA na migawanyiko inayoendelea
Hahahaha unawashangaa wenzio?Huyo babu anazungumzia uhuru karne hii ya kupambania uchumi??
Watu wamechapika unawaletea stori za uhuru??
We ni mmoja wa nyumbu wa MboweCcm ni wapuuzi sana. Huyu nae sijui kala maharage ya wapi