Pre GE2025 Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Teuzi ziendane na hadhi basi jamani, Alli Happi na umoja wa wazazi wapi na wapi jamani?
 
Mwapambwa kiko wapi?
Boss wako kala 'demotion'🀣
Je utahamia kwa Makala ukafanye 'ukunguni'?🀣
 
Ally Hapi ni mfano mzuri kwa kufanya kilimo baada ya kutenguliwa ukuu wa mkoa. Ameonesha kwa vitendo kwamba siyo lazima apate cheo cha kisiasa ili aishi.
Kwa uzoefu aliopata kwenye kilimo, atakuwa kiongozi anayejua shida za wakulima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuuuuh upande wa mwenezi sijaona mtu mwenye kujipamba ccm na kuwafanya watanzania waiamini na kuweza kuipa kura tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ni huyo papaa makalla, mtoto wa mjini.
 
Wataalamu wa serikali na siasa hii ya kupata appointment za chama na serikali inaingilianaje? Inaruhusiwa kisheria hiyo?
 
Lucas Mwaashambwa na Mayalla naona wanaendelea kukosa mvuto.
 
Happi amerudi kwenye cake ya taifa?? Km namuona kidampaa akifurahi kututambia wenzie, basha wake kapata teuzi.

Tutakomaaaa mwaka huu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basha wa nani jamani fungua code jamani mamy ake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…