Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
2025 yanaweza yakaja Mengi , ngoja tuone Lisu nae atasukuma kete gani ila kwa hii safu ya mama ikienda hivi hadi 2025 lolote linawezekana,,,acha tuone na TEC nao kama watakua na move yeyoteAkikabidhi kijiti kwa furaha na bashasha.
Ila siku hizi ccm wameamua kuiba uchaguzi kupitia wakuu wa mikoa na wilaya ndiyo maana unaona aina ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaowateua ni wale wanaweza kufanya hivyo.View attachment 2953001
Anakwenda ephen kujaza nafasiWamegoma kutusubiri tufutari kwanza? Kwahiyo UWT itakuwaje?
Ndio mnavyojifanganya. Yaani Makala amuogope makonda. Yule alikuwa bado anakata majani, kulishhana kutawaza nng'ombe a mzee Sitta wakati Makalla ni mwekahazina wa chama. Mna mpa Uking wa kijinga sana Makonda. Kamshindwa GSM, Atamuweza Makalla.Hana ubavu wa kuweza kushindana na yule dogo
Katenguliwa atapangiwa mtu mwingineWamegoma kutusubiri tufutari kwanza? Kwahiyo UWT itakuwaje?
Umesahau kuweka Namba yako ya Simu muamala usomeAnakwenda ephen kujaza nafasi
Ni ngumu Santa sadist kupewa nchi madhara yake ni makubwa mno!!Akikabidhi kijiti kwa furaha na bashasha.
Ila siku hizi ccm wameamua kuiba uchaguzi kupitia wakuu wa mikoa na wilaya ndiyo maana unaona aina ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaowateua ni wale wanaweza kufanya hivyo.View attachment 2953001
Nini na nani? Wakati Makonda anatawaza ng'ombe za mzee Sitta, Makalla alikuwa mweka hazina wa chama alafu leo Makalla amshindwe Makonda. Nyie was ukuta ebu ficheni uchi wa akili zenu mnele za watu.Hawezi
Hiyo umeachiwa wewe mzee wa Ubuyu.Kila mmoja hapo amestahili isipokuwa Hapi.
Mimi sintofahamu yangu ipo kwenye UWT pekee, itakuwaje?
HaweziNini na nani? Wakati Makonda anatawaza ng'ombe za mzee Sitta, Makalla alikuwa mweka hazina wa chama alafu leo Makalla amshindwe Makonda. Nyie was ukuta ebu ficheni uchi wa akili zenu mnele za watu.
hiki chama kwakweli ni cha waTanzania wote...Ndugu zangu Watanzania,
CCM Ni Chama ambacho huwezi ukakitabilia juu ya maamuzi yake,ni chama ambacho kinakwenda na mahitaji ya wakati ,ni chama ambacho kinawapa watanzania Radha tofauti tofauti.hii ndio sababu hakikauki midomoni mwao Watanzania wala kupungua upendo mioyoni mwa watanzania wala kushuka ushawishi wake kwa watanzania.
Sasa leo kimemteua mwana Dada maarufu na mahili na aliyeisomea siasa darasani Mheshimiwa Jokate Mwegelo kuwa katibu mkuu wa UVCCM ,ambapo unaweza kusema ni Nguli wa sayansi ya siasa kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam mahali alipopikwa akapikika.
Jokate anaifahamu vyema sana UVCCM kwani huko ndiko alikotokea ,unaweza kusema maji yamerejea katika mkondo wake na asili yake. Sasa jumuiya inakwenda kuwaka moto na kutikisa hapa nchini,hii ndio nguzo ya chama,ni tanuri la kuwapika viongozi wa kesho serikalini na ndani ya chama. Nilishamtabiria humu jukwaani jokate kuwa atafika mbali sana na kwamba mwakani lazima aingie mjengoni.Hongera sana Mheshimiwa Jokate kwa uteuzi huo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.