Lolen lee5
Member
- Feb 8, 2024
- 52
- 57
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo huko ccm sio kijana au mzee, Bali chama kizima ndio kina taswira ya uzee. Sasa hivi hata ukienda Ottu jazz na kujaza vijana walioko chini ya miaka 25, usitegemee vijana watapenda miziki Yao, maana tayari vijana wanaona hiyo ni bendi ya kizee. Ccm kama chama tayari kina sifa ya uzee, hata muweke vijana, tayari hicho chama hakiwezi kuvutia vijana. Ndio maana unaona mbeleko ya vyombo vya Dola tu kuwa tegemeo la ccm kubaki madarakani.Nimesubiri mno hadi nimechunda wizoo, nimeliaa mnooo 😭😭
Majitu mazee yanaokotwa na kupewa ulaji halafu mie shangazi machachari naachwa solemba kwelii wizoo 😭😭😭
Kilimo ni hobby na kipato kwa ulimaji ule anapata sana tuHapi ataacha kulima sasa.
Kilimo ilikuwa danganya toto ya kutafutia cheo, lengo lake limetimia.
Halafu alichafuaga hali ya hewa huyu!! Kipindi kile wkt anahojiwa yule shoga wa kichaga aliyebadili jinsia, akatimkia CanadaBwana Hapi
Mara 100 hata wangemrejesha Polepole
Naunga mkono hojaCCM imeishiwa watu. Inajaribu jaribu walewale walioshindwa. Watu ambao ni damaged beyond repair
Kwan huwa wanawatumia hao wasanii kwa malengo gani? si ili wapate hadhira kubwa, sasa kama malengo ya kupata hadhira ili wauze sera na watu waone mikutano yao ina watu na mwishowe wakicheza michezo michafu wawe na kichaka cha kujifichia hawajafanikiwa? we unadhani wanawatumiaga hao wasanii kwa sababu et wako aligned na malengo yao? those are just like whores' pants mkuu, sijui unanielewaOna huyu mshamba, kazi watafanya sababu wanataka hela ila will they make themselves alligned na malengo ya kazi yako..?
Umaskini umewapofusha kiasi cha kwamba mnadhani kila mfanyakazi wako ana mlengo sawa na wewe.
Soon mkuu wa wilaya / mkoaHapi ataacha kulima sasa.
Kilimo ilikuwa danganya toto ya kutafutia cheo, lengo lake limetimia.
kwa jokate kule kusifia ndio alichokuwa ana kitafuta.
subiri sifa za turbo V8 jokate kupata cheo kipya
kwa jokate kule kusifia ndio alichokuwa ana kitafuta.
subiri sifa za turbo V8 jokate kupata cheo kipya
Una uhakika ataacha kulima?Hapi ataacha kulima sasa.
Kilimo ilikuwa danganya toto ya kutafutia cheo, lengo lake limetimia.
Hicho kilimo Wala kilikuwa hakimlipi, kama kingekuwa kinamlipa asingekiacha na kurudi kwenye madaraka. Alikuwa anawakoga wajinga kwa kuwaonyesha furushi la pilipili mbuzi, utadhani pilipili zikiwa nyingi ni lazima upate faida kubwa.Hapi ataacha kulima sasa.
Kilimo ilikuwa danganya toto ya kutafutia cheo, lengo lake limetimia.
Hakuna kilimo Cha simu boss. Ukitaka kulima lazima uwe mwenyewe shambani, lakini kilimo Cha kupiga simu kama wameweka mbegu, au kupiga dawa huwezi kutoboa.Una uhakika ataacha kulima?
Tatizo uko kwenye jembe la mkonoHakuna kilimo Cha simu boss. Ukitaka kulima lazima uwe mwenyewe shambani, lakini kilimo Cha kupiga simu kama wameweka mbegu, au kupiga dawa huwezi kutoboa.