kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
W
WawapiAmos siyo mtoto wa Mjini bwashee 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WawapiAmos siyo mtoto wa Mjini bwashee 😄
Atakidhi haja zao ikiwezekana atufufulie ile wazee wangwasuma mwigulu yeye anunua matimu tu yasiyo na faida!Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kikazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 03 April, 2024 jijini Dar Es Salaam, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM...
Mshamba tu wa zamani ambaye alipata fame kwa kuimbwa na band za mjini ila saivi ataongea nini na kina Jay Melody awatumie kwenye campaign..?? Obviously ni NothingAmos siyo mtoto wa Mjini bwashee 😄
Huyo mzee mshamba sana, hana ushawishi wa wapiga kura wa kizazi kipya. Hapo mama kapuyanga na kiukweli kabisa namuona akirudi mezani kuteua mwenezi mpya kabla ya uchaguzi mwakani.Kama hamumkubali Papaa Amos Makala mutu ya watu, andamaneni kwenda ofisi zenu za chama. Ilikuwa ni lazima chama kurejeshwa katika mikono salama ya watoto wa mjini.
Hata mfanye nini; haitasaidia kitu.
Vijana wa Bashite mna shida sana. Ninyi ndiyo mkawa mnadanganyana kuwa Bashite anakubalika na ndiye atakisaidia CCM? Does CCM look like ACT to you?Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kikazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
Old bamboo juice in a new bottleKwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kikazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
Bora wangekupa ww wizo 🤣🤣🤣Huyu Amoss amekaa kizee sana. Hayuko CHARISMATIC.
Amepooza kama furushi la naniliii.
Sijui wamemtoa wapi huyu babu kizee, bora hata MAKONDA 😹😹😹
Cc Lamomy Extrovert DR Mambo Jambo Namba Moja ajaye
Wangenipa mimi huo ueneziHuyu Amoss amekaa kizee sana. Hayuko CHARISMATIC.
Amepooza kama furushi la naniliii.
Sijui wamemtoa wapi huyu babu kizee, bora hata MAKONDA 😹😹😹
Cc Lamomy Extrovert DR Mambo Jambo Namba Moja ajaye
Sijui samia hanioniii!!!! Anaenda kuzoa mazee yaliyojichokeaa! 🙈🙈Bora wangekupa ww wizo 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂Wangenipa mimi huo uenezi
Kiomboi SingidaW
Wawapi
🤣🤣🤣🤣 Soon mama atakuona wizoSijui samia hanioniii!!!! Anaenda kuzoa mazee yaliyojichokeaa! 🙈🙈
wari iz thisssss!!! 😹😹😹
Natamani niwe mwenezi halafu uwe naibu mwenezi wangu.
Mawifi in da housee 😹😹😹🤣🤣🤣
Hakika kabisa.Mara 100 hata wangemrejesha Polepole