Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wamepuyanga kwa nafasi hiyo ya mwenezi. Makalla at 52 anakuwa mwenezi?Nafasi ya Katibu wa Uenezi na Itikadi inapaswa kuwa ya Vijana damu changa na sio wazee dizaini ya Amos Makala.
Kwa uteuzi huu sitoshangaa mama kurudi tena mezani kabla ya 2025 kusaka Mwenezi mwingine...
😂😂😂😂 AlooooWe wa koromije uliyekuja juzi Dar na fuso ya dagaa huwezi mjua Makalla!! Kaa utulie au rudi ukauze furu Chato.
🤣🤣🤣 wangemrudishia mzee wa Cuba slow slow aje atuchambe na vieiteChoiceVariable
Hiyo nafasi angepewa Hapi ingekuwa nafuu.
Makala sio tu mzee bali hana mvuto, hajui hata kuongea aeleweke
Usikaririri maisha wahindi na waarabu na wazungu wametoka mbali makwao huko leo hii ndiyo wameshika uchumi wa Tanzania.Ndio mnavyojifanganya. Yaani Makala amuogope makonda. Yule alikuwa bado anakata majani, kulishhana kutawaza nng'ombe a mzee Sitta wakati Makalla ni mwekahazina wa chama. Mna mpa Uking wa kijinga sana Makonda. Kamshindwa GSM, Atamuweza Makalla.
Unaijua vieite wewe😂🤣🤣🤣 wangemrudishia mzee wa Cuba slow slow aje atuchambe na vieite
Ingekuwa ccm inashindana kwa hoja, huu ushauri wako ungekuwa na maana. Lakini kwa hii ccm inayotegemea mbeleko ya vyombo vya Dola, hakuna tofauti ya vijana na wazee, maana siku ya mwisho ccm itategemea mbeleko ya vyombo vya Dola kukaa madarakani kwa shuruti.Nafasi ya Katibu wa Uenezi na Itikadi inapaswa kuwa ya Vijana damu changa na sio wazee dizaini ya Amos Makala.
Kwa uteuzi huu sitoshangaa mama kurudi tena mezani kabla ya 2025 kusaka Mwenezi mwingine...
Kila jambo ni juhudi na bahati tuLabda kama humjui Amos Makala,ukisikia CCM ina wenyewe,Amos na Nchimbi ni miongoni mwa hao "wenyewe".Chama kinarudi kwa wenyewe kwa kasi kubwa
Ccm haitegemei kura kukaa madarakani, dhalimu Magufuli ameshapandikiza mbegu mbaya kwenye chaguzi zetu.Naona watu wakirudi kwenye mabadiliko tena before 2025 nimekaa paleee
🤣🤣🤣🤣 jamaa alikuwa ananichekesha kinouma, wangempa ofisi yake anaimudu sana..!!Unaijua vieite wewe😂
Sasa mbona akili na maandishi yako hayana tofauti na Form IC?Hatuongei ushabiki ila uhalisia.Mimi nimevuka 40s sitaki kazi za Vijana
Jamaa ana akili🤣🤣🤣🤣 jamaa alikuwa ananichekesha kinouma, wangempa ofisi yake anaimudu sana..!!