Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
akilegea mahali tu Lisu anapita nae,dadadeki😅🤣Sawa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akilegea mahali tu Lisu anapita nae,dadadeki😅🤣Sawa sawa
Tatizo watamtangaza na kumkabidhii ?akilegea mahali tu Lisu anapita nae,dadadeki😅🤣
Papa amosi makala, mutoto ya mujini, beberu ya jiji, aka kiboko ya nyumbuziakilegea mahali tu Lisu anapita nae,dadadeki[emoji28][emoji1787]
Kajikanyaga mwenyewe tu, huwezi sifiawendazake wakati tunataka mama apite bila kupingwa 2025Hamna mtu kawashauri vibaya, makonda alijikanyaga mahali japo alionywa ila hakusikia
sio Urais,kupita nae maneno tu ya kisiasa majukwaani.Tatizo watamtangaza na kumkabidhii ?
Hahahahaha...Makonda alifaa sana ila alikosa ustarabu na heshima ya kazisio Urais,kupita nae maneno tu ya kisiasa majukwaani.
unajua ukiwa mzembe maneno ya Lisu yanakudhoofisha mpaka watu wanakuona umechakaa hufai,shombo la Lisu sio la kitoto,,,😅🤣
wazee wa jiji,wala bata.Papa amosi makala, mutoto ya mujini, beberu ya jiji, aka kiboko ya nyumbuzi
Kama makala, ni mzigo mzito kwa CCM ilipaswa awe bench long time ago ndio kubebana kishkaji tuWatu ambao ni damaged beyond repair
hamasa kwa vijana wakati mwingine zinavuka mipaka.Hahahahaha...Makonda alifaa sana ila alikosa ustarabu na heshima ya kazi
Hajaogopwa meko atakuwa huyo!?Huyu Chadema wanamwogopa sana
Mbinu wanayo Moja tu vyombo vya Dola mengine uongoUnaota unajisahaulisha ccm wana mbinu 1000 za kushinda mpaka sasa washatumiaga mbinu mbili tu
Hapa Upinzani ndo wakati wao,CCM wamechemsha.Watu wanapenda siasa za Hamasa kwelikweli, kwa hili Makonda aliweza ila Makala hatoweza pia Hana Mvuto wa kisiasa na ushawishi
Yaani kiufupi Sekretarieti ya Kumsaidia Dr. Nchimbi haina Mvuto labda Ally Hapi tu
Fatilia hata uteuzi wa Makala hauna Mvuto , Hata media kubwa unakuta wamepost ila post Ina comment 2 na like 1 hii ni picha tosha kuwa wamepuyanga
Sasa hapo amekufaa vipi. Mtu anaharibu na kuchafua hali ya hewa unasema alifaa?Hahahahaha...Makonda alifaa sana ila alikosa ustarabu na heshima ya kazi
Kila tukio ni fursa. Baada ya kupigwa chini aliona akalime pilipili kichaa.duh...! akiyaniani yaani siku hizi ukiteuliwa hata ufurahii uteuzi wako mwezi mmoja tu unabadilishwa cheo
Makala amekua serikalini kwa muda mrefu sana , tumeona utendaji wake hana maajabu yeyote, vile vile Nyakati zimeshamtupa, ataambia nini kizazi hiki cha vijana ambao ndio wengi.Wewe wasema
sawaMakala amekua serikalini kwa muda mrefu sana , tumeona utendaji wake hana maajabu yeyote, vile vile Nyakati zimeshamtupa, ataambia nini kizazi hiki cha vijana ambao ndio wengi.
Kama si kulazimisha tu mambo kwa element ya kujuana basi asilimia 80 ya viongozi tuliokuwa nao hawapaswi kuendelea na nafasi wanazoshika sasa.
Ni either akili zao zimechoka au hawana uwezo kabisa.
Nasema hivyo maana sisi wananchi tunawapima kwa utendaji wao.
Tunaona wenyewe hatuna hata haja ya kusimuliwa.
Nimecheka Sana Watu mnamajungu na fitna zaidi yq Makatibu Uenezi mbona hii nafasi mnaofaa mpoo wengi humu teuzi inayofata Mama apitie humu atapata Watu wa kumfaa 😂We wa koromije uliyekuja juzi Dar na fuso ya dagaa huwezi mjua Makalla!! Kaa utulie au rudi ukauze furu Chato.
Mimi sijasema hata Mimi niliuliza wa mjini ipiMakala ana utoto wa mjini upi? Kwao Mvomero huko kijijini!