Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
yap,hiyohiyo.Mipango ya kuwahadaa watanganyika na ku propagandize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yap,hiyohiyo.Mipango ya kuwahadaa watanganyika na ku propagandize
Umemsikia mtoto wa Mjini ?Maneno yakukata tamaa kabisa maskini hutaki kushika dola unasubiri kuletewa maendeleo na CCM!
Kabisa , uenezi ni ushawishi siyo utekaji kama anaotaka kuuleta MakallaDaah! Makalla mbona ameanza kuchemka siku ya kwanza tu. Huyu atafute hata kishoka wa kumuandikia hotuba.
Sasa huu ndiyo uenezi? Uenezi hauhitaji kauli ngumu na tata, unahitaji kauli thabiti na zenye kushawishi.
Watakwambia WAPINZANI Hasa CDM wanawakwamisha wao kuwaletea wananchi maendeleo.Kipaumbele cha kwanza cha CCM ambayo mteule mpya ni Pedeshee Amos Makalla ni kuhakikisha INAANGAMIZA WAPINZANI WOTE NCHINI TANZANIA , yaani hili ndio lengo kuu la Uongozi mpya ulioteuliwa juzi .
View attachment 2954593
Sasa kama kuna mtu yeyote alitegemea maendeleo basi ajitafakari upya .
Bali sisi wengine mara zote tutaendelea kuwakumbusha Wananchi ili Wamjue adui yao Mkuu bila kujali kama tutabezwa au la .
Kwangu haijafunguka ila kama alishindwa hayati magufuli hawa wengini ni kimiminika tu.Kipaumbele cha kwanza cha CCM ambayo mteule mpya ni Pedeshee Amos Makalla ni kuhakikisha INAANGAMIZA WAPINZANI WOTE NCHINI TANZANIA , yaani hili ndio lengo kuu la Uongozi mpya ulioteuliwa juzi .
View attachment 2954593
Sasa kama kuna mtu yeyote alitegemea maendeleo basi ajitafakari upya .
Bali sisi wengine mara zote tutaendelea kuwakumbusha Wananchi ili Wamjue adui yao Mkuu bila kujali kama tutabezwa au la .
Wanapiga Majungu kwenye Corridors za Lumumba?😆Chama kiko mikono salama, kimeshikwa na wanaokijua. Ilikuwa ni upuuzi Mzee Warioba kukaa vikao vya CCM na jitu lililompiga ngwala.
Eeh anataka mdahalo hata ikiwa juu ya mti!Umemsikia mtoto wa Mjini ?
Huyu mzee Ramadhani ni babu yako ama? Naona unampigia debe JF nzima!mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0678663769