Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Namuona nyosh el saadat akiungana na patcho mwamba kuirudisha ngwasuma mjini!
 
Acha kumlisha maneno hajaongea mimi mtoto wa mjini! Kasema yeye kazaliwa hapa hapa! Unadhani kuanza kuongea yeye mtoto wa mjini kana kwamba CCM ni ya watu wa mjini tu! Hawezi kuijiingiza kwenye sintofahamu hiyo! Wewe umeona Makonda alivyoingia kwenye matatizo kwa kauli zake!
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Kumbe makonda alikuwa anaiogopa?
 
Duh bongo safari ndefu sana kweli jamaa WAMEISHIWA.....Taswira ya TAIFA
Wazazi wako wangekuwa MARUBANI?

Wale WaKolomoje akisikia haya Maneno wanajisikiaje kwa Kauli za KIBAGUZI kama hizi

Wanzuki hatari sana mdomo ufungwe Piopiii

Subirini Majibu kutoka kwa JONGWE!!!

Babel
 
Back
Top Bottom