Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndumba na ushirikina Makalla anaziweza .Mkija upande huo ndio kabisa mumepotea njia ndiko anakolala na kuamkiaKwa hiyo anatuogopesha na hao mapolisi au!
Moja ya sehem alizofel Samia ni hapa pia.
Makala?? Mtoto wa mjini kunahusiana vipi na Maisha ya Wananchi?.
Jamaa Hana ushawishi wowote zaidi ya ushawishi kwenye genge lao la ufisadi .
Hapa CCM imechemkaaa
Kwa hiyo wote ni zao polisiWakati huo huo nchimbi nayeye ni mtoto wa kota za polisi moshi,
ali hapi katibu wazazi nayeye ni zao la polisi na bado kuna uhasama wa kimaslahi kati ya ccm na polisi😁😁😁
Shida ni gani hapo??
View attachment 2954491
Mkuu mambo vipi
Wote hao,sasa sijui wana shida gani na wazazi wao sijui wanataka laana🤣🤣🤣Kwa hiyo wote ni zao polisi
Cheep politicsWatanzania tuna hali ngumu kimaisha yeye anajivunia utoto wa mjini huh!
Nipo salama mkuu.Mkuu mambo vipi
Halafu uachage ubwege na WeweAcha kumlisha maneno hajaongea mimi mtoto wa mjini! Kasema yeye kazaliwa hapa hapa! Unadhani kuanza kuongea yeye mtoto wa mjini kana kwamba CCM ni ya watu wa mjini tu! Hawezi kuijiingiza kwenye sintofahamu hiyo! Wewe umeona Makonda alivyoingia kwenye matatizo kwa kauli zake!
Yaani hata Dkt Samia mwenyekiti ni mtoto wa kizimkazi na ni mshamba! HahahaAnapiga jungu kuwa yeye ni mtoto wa mjini japo hajataja moja kwa moja neno mtoto wa mjini! Kwa maana hiyo waliokuwepo sio watoto wa hapo hapo Dar!
Jerry Silaa: Mimi sina njaa baba yangu alikuwa RubaniDuh bongo safari ndefu sana kweli jamaa WAMEISHIWA.....Taswira ya TAIFA
Wazazi wako wangekuwa MARUBANI??
Akilindogo
Mzee Tupatupa Kuna mwingine huku!!Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak 😄
FutuhiKatibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak 😄