CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
So what?View attachment 2954792
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what?View attachment 2954792
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi...
Washamba Washamba msimsumbue! 😂So what?
Pedeghee amos makalaBora iwe hivyo, tumemisi nyimbo za Dunia Kigeugeu 😅😜
Washamba from kolomije wametoka watoto wa mjini wameingia...kazi iendeleeView attachment 2954792
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi...
Mtoto wa mjini wapi huyo hawezi hata kusema Google, anasema Gugu.View attachment 2954792
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi...
😂😂😂Washamba from kolomije wametoka watoto wa mjini wameingia...kazi iendelee
Hata aweko nani hapo. Kuongoza miaka zaidi 50 unachosha tuMoja ya sehem alizofel Samia ni hapa pia.
Makala? Mtoto wa mjini kunahusiana vipi na Maisha ya Wananchi?.
Jamaa Hana ushawishi wowote zaidi ya ushawishi kwenye genge lao la ufisadi.
Hapa CCM imechemkaaa
Yule jamaa mweupe mweupe?Yale yale ya yule muimbaji wa taarabu, huko juu kuna mambo
Muziki wa bendi utarudi Mjini 🤗Pedeghee amos makala
Wapi Papa Makala mutu ya Maokoto, mutu ya stuli ndefu!!Namuona nyosh el saadat akiungana na patcho mwamba kuirudisha ngwasuma mjini!
Jamaa wameingia na nginja nginja, sasa Kigaila aliyezaliwa Kizuramimba sijui itakuwajeView attachment 2954792
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak 😄
Great thinkers mtanisamehe. Huyu jamaa namuona kama anahitaji tiba ya kisaikolojia kwa tangu alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.... He is empty set.View attachment 2954792
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak 😄
Ndiyo maana wote hawana akiliKumekucha na Baba yake mzazi Katibu mkuu wa CCM John Nchimbi baba yake pia alikuwa Kamishina wa Jeshi la Polisi
Watoto wa Polisi wako kazini