Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak [emoji1]
Kila mtu mtoto wa mjini sie wa Lutindi tuwaachie chama chao
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Mazee Pedejee Makala, Papaa wa mujini, tuonane viwanja!
From Papaa Bakulutu!
1712313076793.png
 
Fm Academia irudi rasmi sasa naona mapapaa yamerudi..!! Ila baba Gabi kashaanza kuwaalika wasanii
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Remote iko Msoga, hapa Mazer amefeli sana
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Hivi ukishepewa Chep cha Uenezi wa chama Lazma Akili ikuchomoke Kwanza???
 
Huyu bumunda kujivunia utoto wa mjini anampiga dongo Makonda kuwa ni mshamba wa kolomije ndiyo maana kapigwa chini ili apewe yeye mtoto wa mjini.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Ndo kajanna style hii?? Keshafeli huyu
 
Acha kumlisha maneno hajaongea mimi mtoto wa mjini! Kasema yeye kazaliwa hapa hapa! Unadhani kuanza kuongea yeye mtoto wa mjini kana kwamba CCM ni ya watu wa mjini tu! Hawezi kuijiingiza kwenye sintofahamu hiyo! Wewe umeona Makonda alivyoingia kwenye matatizo kwa kauli zake!
Kwahiyo atakuwa mwenezi wa hapo alipozaliwa?
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
SOo what!!! Upumbavu mtupu hatishiki mtu tena! Risasi, mahabusu, kutekana, kubambikia kesi vyote vimeshindwa halafu unatuletea issue za manjagu wazazi wako? GO TO HELL
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi

Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja

Credit: Michuzi TV

Ramadan Mubarak 😄
Kajaribiwa kidgo kaingia mzima mzima
 
Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

 
Vyovyote aseme haina shida kikubwa asifikie kuona yeye ndio yeye akaota mapembe hata kufikia kuohoji wasio katika teuzi zake,adeal kichama tu
 
Back
Top Bottom