Kila mtu mtoto wa mjini sie wa Lutindi tuwaachie chama chaoKatibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak [emoji1]
Mazee Pedejee Makala, Papaa wa mujini, tuonane viwanja!Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak π
Hahaha mkuu sisi tupo na kilimo na ufugaji siasa tumewaachia wenyeweNipo salama mkuu.
Za miaka?
Hujalamba uteuzi huko unirushie buku?
Hahaha
Remote iko Msoga, hapa Mazer amefeli sanaKatibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak π
Hivi ukishepewa Chep cha Uenezi wa chama Lazma Akili ikuchomoke Kwanza???Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak π
Ndo kajanna style hii?? Keshafeli huyuKatibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak π
Kwahiyo atakuwa mwenezi wa hapo alipozaliwa?Acha kumlisha maneno hajaongea mimi mtoto wa mjini! Kasema yeye kazaliwa hapa hapa! Unadhani kuanza kuongea yeye mtoto wa mjini kana kwamba CCM ni ya watu wa mjini tu! Hawezi kuijiingiza kwenye sintofahamu hiyo! Wewe umeona Makonda alivyoingia kwenye matatizo kwa kauli zake!
SOo what!!! Upumbavu mtupu hatishiki mtu tena! Risasi, mahabusu, kutekana, kubambikia kesi vyote vimeshindwa halafu unatuletea issue za manjagu wazazi wako? GO TO HELLKatibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak π
Kajaribiwa kidgo kaingia mzima mzimaKatibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi
Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote Wakati wowote na pia yuko tayari kwa Siasa za maridhiano na hayuko tayari kwa Siasa za viroja
Credit: Michuzi TV
Ramadan Mubarak π
Hamna hospitali wala clinic wala nyumba shhimoni kkooDaah kumbe kuzaliwa Kilwa Road ni dili! Mongela yeye kazaliwa Kariakoo ndani kabisa kule shimoni kwa hiyo hatishiki!