Amos Makalla: Nimezaliwa Ocean Road, Baba Polisi, Mama Polisi

Moja ya sehem alizofel Samia ni hapa pia.

Makala? Mtoto wa mjini kunahusiana vipi na Maisha ya Wananchi?.

Jamaa Hana ushawishi wowote zaidi ya ushawishi kwenye genge lao la ufisadi.

Hapa CCM imechemkaaa
Hata aweko nani hapo. Kuongoza miaka zaidi 50 unachosha tu
 
Jamaa wameingia na nginja nginja, sasa Kigaila aliyezaliwa Kizuramimba sijui itakuwaje
 
Great thinkers mtanisamehe. Huyu jamaa namuona kama anahitaji tiba ya kisaikolojia kwa tangu alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.... He is empty set.

Naona kama mama amependekeza jina lake kuwakomoa watu fulani na jahazi linaenda kuzama kwa speed nzuri sana. CCM tangu ngazi za juu hadi chini ni mabingwa wa kupanga safu za kuwahakikishia teuzi za wanaowaweka madarakani. Makonda ana mapungufu yake hususan eneo la Haki za Binadamu lakini at least ametusaidia kugundua udhaifu wa CCM ulipo. huyu jamaa mpya ni mgaigai hana jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…