Amos Makalla: Ukosefu wa maji ni kudra za Mungu wala sio ilani ya CCM. Ilani haiwezi kuleta mvua

Amos Makalla: Ukosefu wa maji ni kudra za Mungu wala sio ilani ya CCM. Ilani haiwezi kuleta mvua

Ndio mana sizipendi hizi dini..zinaua uwezo wa kufikiri kabisa.

Yaani utabiri ulishatolewa kisha mnaaza kuleta ngonjera za kudra upuuzi mtupu.. CCM ni janga kwa hii nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwamba kama Meneja wa maji anasaka maji porini usitegemee maji ya bomba nyumbani kwako!
 

Attachments

  • IMG-20221101-WA0007.jpg
    IMG-20221101-WA0007.jpg
    62.1 KB · Views: 4
Ipo din inaongeza uwezo wa fikra
Ndio mana sizipendi hizi dini..zinaua uwezo wa kufikiri kabisa.

Yaani utabiri ulishatolewa kisha mnaaza kuleta ngonjera za kudra upuuzi mtupu.. CCM ni janga kwa hii nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
Kama majibu ni hayo ya serikali, Je nini dhima ya kuwa na mamlaka ya hali ya hewa? Serikali kama serikali inaitumiaje taarfa za hali ya hewa kwa mda wote ? Je mamlaka ya hali ya hewa ni kujulisha tu wananchi huku serikali ikilala usingizi wa pono huku trend ya hali ya hewa ikiwekwa wazi miakanenda rudi ?
 

Huyu ndio maana Magufuli alimtumbulia mbali.

 
Kwahiyo jangwani wafe njaa eti kudra za mwenyezi Mungu.

Kama wameshindwa kazi watoke hapo sio kula kodi zetu alafu wanaleta majibu rahisi rahisi, any layman ageweza kuomba Mungu au kama vipi tuajiri maaskofu kabisa na Masheikh kila idara kama wao ndio waleta maji. Hizo Idara za Maji tuzihamishie kwenye majumba ya Ibada

By the way kama walishatabiri ukame si inamaanisha walijua kabla au?
Well said Mkuu.....
 
Jamani eee nafikiri tushapata majibu ya uhaba wa maji,,, turudi kwenye mjadala wa mechi yetu ya kesho.
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
Inasikitisha
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
hajielewi huyoo
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
Mungu mwenyewe anasema tafuteni na mimi nitawapa ajasema nyie kaeni me nitawapa waache kumsingizia mungu kwenye mambo ya ajabu.

kuna nchi wanachange maji ya chumvi yanakuwa maji fresh wanatumia kupikia , kumwagilia na matumizi mengine sisi tunashindwa nini wakati deal tunakusanya kodi matrilion kwa matrion kila mwezi na mikopo juu tunachukua .
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
ThinkTank ya CCM hiyo
Aliwahi kuwa mweka hazina wa chama huyo.

Mpaka leo CCM inaamini kilimo cha mvua pekee. No wonder hata vyanzo vya maji wanategemea mvua zinyeshe milimani.

Tuna hasara kubwa sana kama nchi ikiendelea kuwa chini ya CCM. Wao wanawaza madaraka kupitia wizi wa kura
 
Back
Top Bottom