Amos Makalla: Ukosefu wa maji ni kudra za Mungu wala sio ilani ya CCM. Ilani haiwezi kuleta mvua

Amos Makalla: Ukosefu wa maji ni kudra za Mungu wala sio ilani ya CCM. Ilani haiwezi kuleta mvua

Shida ya Africa ni namna tunavyopata viongozi wetu yaani not based on meritocracy kabisa.
NI mambo ya who knows huu madhara yake ndo haya sasa.
Tz ina maziwa makubwa matatu,madogo matano mito zaidi ya kumi bado borehole uko chini ya ardhi maji ya kutosha.
Uyu angepelekwa akae Jangwani siku nyingi angeshatangulia mbele za haki.
ILa ata wahenga walisema kwenye miti hakuna wajenzi ila kusiko kuwa na miti kama uko uarabuni na kwengineno wajenzi kibao.
Na daily tunashinda uko tunaishia kufanya shopping badala ya kujifunza mambo ya msingi ili tuweze transform inchi yetu.
Na ukiona kiongozi kujitetea ni kwingi kuliko kutatua tatizo ndo ujue manyoya aka mmeliwa
 
Kusema kweli ardhi ni kavu sana jamani

Jua limekausha sana ardhi hadi maji yamekauka
 
Mama awe mkali,hizi ni sababu za kisiasa,naskia tena kuna na bodi ya mikopo inamgomea waziri,dah! akitumbua watendaji kadhaa utashangaa hata mgao umeisha.
 
ThinkTank ya CCM hiyo
Aliwahi kuwa mweka hazina wa chama huyo.

Mpaka leo CCM inaamini kilimo cha mvua pekee. No wonder hata vyanzo vya maji wanategemea mvua zinyeshe milimani.

Tuna hasara kubwa sana kama nchi ikiendelea kuwa chini ya CCM. Wao wanawaza madaraka kupitia wizi wa kura
Huyu Jamaa sio wa kubeza!!

Anatumika kuona hatari Kuwa kawaida halafu unajikuta unawajibishwa!

Wanaomtumia wanaomtumia KWA hesabu zao za mbali Sana!
 
Sasa hiki ni kipimo kingine kwa Rais!
Kwa shida wanayopata wananchi ukiwa kiongozi tena mteule wa Rais haifai kusema hivi..Makala hafai...ila uzuri amesema mbele ya bosi ngoja tuone.
HIYO NDIO KAULI YA BOSS WAKE... NA NDIO MSIMAMO WAKE...

KATUMWA TU KUSEMA KWA NIABA...

HIVI KUNA MTU ANASUBIRIAGA HOTUBA YA HUYU MAMA KAMA ZAMANI WATU WALIKUWA WAKIFUATILIA HOTUBA ZA MAGUFULI..?
 
Huyu jamaa anasema CCM haileti mvua, akajisahau mbele akasema wameingia mkataba sijui wa kujenga bwawa wapi huko mjini dar es salaam ivyo tatizo litakwisha kabisa

Ivi CCM Nani kawaloga ? Watanzania tumemkosea wapi mungu ,hii mipango ya kutuambia sisi miaka hamsini ya Uhuru?

Ikiiba kura yakikaa madarani, inawaza miaka mitano mbele ,wataiba kura vip, hakuna vitu vingine yanawaza
Poleni ndugu zangu, manake siku zote mnaambiwa wataendelea kutawala 'milele'...... africa kaazi kwelikweli.
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
Huyu akili zipo kwenye mashavu.. siyo mara yake ya Kwanza kumsingizia mungu.
 
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.

Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba chanzo cha ukosefu wa maji ni kudra za mwenyezi Mungu na wala sio ilani ya chama cha mapinduzi maana huwezi ilani ikataja ikaleta mvua kwa hiyo haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.


========

Hivi wale waarabu wa jangwani wangekuwa wanasubiri kudra za Mungu si wangekuwa wamekufa kwa kiu na ukame! Kama kupatikana maji safi ni nje ya uwezo wenu mtupishe maana hatutayapata mpaka tunakufa.
Huyu ni Mungu wa ajabu kama sio Makalla ni wa ajabu!

Tupewe maji yote yanayookana toka mwezini(gugu mapu) kwa kudra za bwana, halafu kwa kudra hizo hizo, hayapatikani lakini yapo! Kweli huwa bwana anatoa na kuchukua.

Tunaenda kwenye hali ya Hatari na jambo hili pale wanasiasa wanapochukulia ukosefu wa maji kimzaa mzaa.

Bunge zero....ati wanataka ratiba!
Nimesema hukoooo. Tanesco-gone, Maji gone, na sasa baada ya sensa ndio tutauzwa wazima wazima....Tunajua baada ya matokeo ya sensa sasa mikopo na misaada bwelele? Kwanini? Tunauzwa!
 
Kuwepo au kutokuwepo kwa mvua ni matokeo yanayosababishwa na binadamu.
 
Mama awe mkali,hizi ni sababu za kisiasa,naskia tena kuna na bodi ya mikopo inamgomea waziri,dah! akitumbua watendaji kadhaa utashangaa hata mgao umeisha.
HUYO MAMA NDIYE KAMTUMA ASEME KAULI HIZO...HAJASEMA KWA MAPENZI YAKE HUYO...
 
Dude is blaming, or rather appealing to divine powers and not the CCM policies; who have ruled this country forever, for the current acute water shortages.
 
Hata ile ratiba ya mgawo ya Dawasa aliyoidhinisha yeye mwenyewe wameshindwa kusimamia na kutekeleza. Hawa jamaa ni washenzi sana.
 
Ok. Labda tukubali ni kudra. Je mpango wa muda mrefu uendelee kutegemea kudra?

Huyo mtoa kudra akituangalia anaona tumezungukwa na maji, maziwa na bahari.

Atupe nini zaidi ya alichotupa?

Na hata tukimlilia vipi hatuoni kama wazembe tu?
 
Back
Top Bottom