Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mshana, huko msibani nafasi ya kuingia bafuni àu chooni kuanzá kunyoa mavuzi inatoka wapi?Yani kafanya usafi nako ni tatizo?
Itakuwa yeye pia huwanyoa anaowapitia. Sasa kapiga picha na kugundua wa kwake pia kanyolewaMapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Ndio nimesema ,ila utake usitake kukaguliwa lazima.utasema sasa
Hakuna mwanaume mjinga eti uende msibani wiki nzima urudi umenyoa mgombane. Huyo katoka asb karudi usiku na kipara.Mkuu Hapa haya maswali yangejibika kama ingejulikana huyo Mama alikaa huko kwa muda gani?
Waeza kuta alimaliza hadi 40 hapo kuna shida gani kurudi akiwa swafi Mkuu?
Yupo sawa mara nyingi mtu akinyoa ujue ni tatzoMapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
We hata ukae miezi sita, akirudi ayakute ya miezi 6 au 8.Hakuna mwanaume mjinga eti uende msibani wiki nzima urudi umenyoa mgombane. Huyo katoka asb karudi usiku na kipara.
jinga wewe..🤣
Ndio,,kunyoa ovyo minundunundu inajaaKunyoa mpaka uwe na appointment?
Baadae jioni upitie home nikupe shaver nzuri hata unyoe kila siku patakua softNdio,,kunyoa ovyo minundunundu inajaa
Ndo akaufanyie msibani 😁 hata mi nisingemuelewaYani kafanya usafi nako ni tatizo?
😂😂😂😂eti softBaadae jioni upitie home nikupe shaver nzuri hata unyoe kila siku patakua soft
Uamue ww tu😂😂😂😂eti soft
Jinga kabisa wewe, unapenda kuchungulia vipara za akina wanawake😂😂😂jinga wewe..🤣
He who cleans his house, expects visitors😊Yani kafanya usafi nako ni tatizo?
Amenusa usaliti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dunia haiishi vituko.