Bro ataka kibox manyoya!Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
Kama hauna D mbili huezi mwelewa mwambaMapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha duniaView attachment 3170132
Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi yake lakini baada ya kurejea nyumbani, mme wake akagundua mkewe amenyoa sehemu za siri hali iliyozua ugomvi na kuamua kumpa talaka.
πππkibaraza cha Khuma
Ooh vema sanaaaKama anakupenda atanyoa kwanza
Kipilipili hakichaniki nawewe mpaka uloweke na maji saangapi sasa!Jamaa yuko sahihi kabisa, mke aliaga anaenda msibani sio kwenda kunyoa
Sasa kwanini karudi na kipara wakati aliondoka na kipilipili.
Hapo shughuli ni pevu πKipilipili hakichaniki nawewe mpaka uloweke na maji saangapi sasa!
Sasa yeye alitaka awe anatembea na kichaka jamani daa sio sawa!Hapo shughuli ni pevu π
Kwa Kweli amezingua sana πSasa yeye alitaka awe anatembea na kichaka jamani daa sio sawa!
Anatakiwa afanyiwe nyumbani tena chini ya uangaliziYani kafanya usafi nako ni tatizo?
Mkuu tatizo sio kunyoa tatizo ni kwa nini anyoe akiwa safarini?Yani kafanya usafi nako ni tatizo?
Anatakiwa afanyiwe nyumbaniYani kafanya usafi nako ni tatizo?
Hasa ukizingatia huwa hawezi kujifanyia usafi mwenyeweMkuu tatizo sio kunyoa tatizo ni kwa nini anyoe akiwa safarini?
Je ntaaminije kwamba hakuna jamaa huko kijijini kwao kamnyoa na kumnyonyoa manyoya na kumla