Amri Kuu Kuliko Zote ni Upendo! Mpende Mungu, Ipende Nchi, Wapende Viongozi, Mpende Jirani Yako Kama Nafsi Yako!. Jirani yako ni Nani?, Unampenda?

Tafsiri ya neno Jirani 'ni mtu yeyote ambaye shughuli zako zinamuhusu'. Anaweza akawa Mkeo/ Mumeo, Mtoto wako, Mfanyakazi mwenzako, Mteja wako, Muumini mwenzio, Ndugu yako au mtu anayeishi karibu na wewe.

Hivyo ukifanikiwa kuwapenda hao, Mungu anakubariki.
 
Hivi Mungu anampenda shetani!!!?
Yes, adui mpende!, Mungu ana... sana shetani, ndio maana baada ya uasi hakumuangamiza, akamuacha aitendelee kupoteza watu wa Mungu!.

Baada ya Mungu kumuumba Eva, alimuona shetani aki mtempt Eva, akamuacha!, shetani akamtempt Eve, akamuonyesha tunda, akamfundisha jinsi ya kumega tunda, akammegea, Eva akamfundisha Adamu jinsi tunda linavyomegwa na kumlazimisha kumega!.

Mungu akamtuma Mwanae mpendwa wake, Shetani aka m tempt na hadi kumsulubisha huku Mungu anaangalia tuu!.

Sababu pekee ya ni kwanini Mungu hajamdetroy shetani, jibu utalipata
P
 
Pascal Mayalla kwa nini kupotosha maandiko…wapi imesema tuwapende watawala wewe wasema viongozi… wapende wewe usitulazimishe
Wao wanawapenda wananchi acha kutufanya hatunazo….
 
Viongozi wenyewe wa kuwapenda ni hawa waliotuacha mifupa nje!!!!
 
Kuna vitu watu tunaandika humu, vinaonekana kama tumeandika nothing!. Makala hiyo inayozungumzia upendo imefika gazetini siku ya Krisimasi. Kuna mtu alisoma hiyo paragraph ikamuingia!.

Baada ya Krisimasi angalia kilitokea nini Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote

Hivyo we are not writing for nothing!.
We are writing for something.
P
 
Pascal Mayalla kwa nini kupotosha maandiko…wapi imesema tuwapende watawala wewe wasema viongozi… wapende wewe usitulazimishe
Wao wanawapenda wananchi acha kutufanya hatunazo….
Mkuu Pakawa sijapotosha, amri inasema mpende na jirani yako kama nafsi yako!, nikauliza jirani yako ni nani?.
  1. Hapo ndani ya nyumba unapoishi, jirani yako ni mtu wa chumba cha next room, hata kama ni beki 3, ale unachokula wewe, avae unachovaa wewe na wanao.
  2. Kama ni nyumba ya kupanga, jirani yako ni next door.
  3. Kwenye utawala wa nchi, jirani yako ni viongozi wako wa nchi.
  4. Kwenye vyama vya siasa, jirani wa CCM ni opposition. Baada ya hii makala kutoka, imetenda!. Kumefanyika tendo la upendo chama.
P
 
Katika wasukuma wenye bahati mbaya we ni mmojawapo pamoja na kujipindua lakini bado hawakuoni tu! Sijui kwa nini?
 
Katika wasukuma wenye bahati mbaya we ni mmojawapo pamoja na kujipindua lakini bado hawakuoni tu! Sijui kwa nini?
Mkuu Vmatongo , nakuomba unitendee haki!, it depends mtu unaandika kwa motives gani, kama unaandika kwa motives za uchawa ili uonekane uteuliwe, then utakuwa sawa kumwambia mtu wa namna hiyo kuwa ana bahati mbaya hawamuoni, lakini kama unaandikia kuhudumia jamii na sio kufuruhisha watawala, wewe utaendelea kuandika kuhudumia jamii kwa kuwa a critical writer, wala hutategemea watawala wakuone!. Hili mimi nimeliweka wazi kabisa kuwa siandiki ili watawala wanione! Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
 
Kuna maswali kama haya ya kujiuliza hivi kwanini upendo unakuwa mgumu hivi… shetan na Mungu wanapendana? Maana pia mtaani tunawapenda wema na waovu pia ila ukiwa na upendo ndani yako huwezi kuwa muovu [emoji848][emoji848]
Mkuu denicy, upendo unakuwa mgumu kwasababu ya shetani. Mungu ni upendo na anampenda hadi shetani ndio maana hajamuangamiza!. Ni kweli sio tuu mtaani bali Mungu na shetani both wako ndani yetu!, ukitenda mema shetani anakimbia, ukitenda maovu ni kumkubali shetani, Mungu anakaa pembeni.

Ili kuwa na upendo wa kweli, lazima kwanza upendo huo uwe ndani yetu ndipo tuwapende na wengine. Ukiwa na upendo wa dhati ndani yako huwezi kuwatendea maovu wengine kama enzi zile!. Tanzania Tanzania tushukuru sana kwa huyu mtu Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? alisamehe tuu.

P.
 
Mimi muumini wa mizimu ya bibi na mababu zangu ngoja nipite tu humu
Hata hiyo mizimu, inatumia the same power source, ikifanya mema ni nguvu za Mungu kupitia mizimu!, na ikifanya mabaya ni nguvu za shetani kupitia mizimu. Zile dini zetu za asili kabla ya ujio wa wazungu na waarabu, Mungu yule ndio huyu huyu! Ila tuu ni kwa majina tofauti tofauti.
P
 
chrismass ni upagani, haiko kibiblia
lakini kwa kuwa mnatii miongozo ya viongozi wenu kuliko kutii neno la Mungu endeleeni nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…