Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #41
Mkuu KANYIMBI , asante sana kwa hii, huu ndio ukweli wa jirani ni nani, na sasa mtashangaa jinsi Taifa litakavyo barikiwa.Tafsiri ya neno Jirani 'ni mtu yeyote ambaye shughuli zako zinamuhusu'. Anaweza akawa Mkeo/ Mumeo, Mtoto wako, Mfanyakazi mwenzako, Mteja wako, Muumini mwenzio, Ndugu yako au mtu anayeishi karibu na wewe.
Hivyo ukifanikiwa kuwapenda hao, Mungu anakubariki.
P