Amrouche Alikua Sahihi 100% Morroco Wanabebwa Sana hawana huo uwezo Saiv, TFF Ya Karia Hamjui Mpira

Amrouche Alikua Sahihi 100% Morroco Wanabebwa Sana hawana huo uwezo Saiv, TFF Ya Karia Hamjui Mpira

safi sana, morocco wanacheza kistar sana, yaani ukiwaangalia wachezaj ni kama wanasema, haya mashindano siyo level yetu tunacheza basi tu.
Yani nimefurahi sana waarabu wote Out Machizi hawa..Sio kwamba Racism ila washikaji hua wanajiona wao sio kama wa huku Africa.
 
Amrouche naye alibebwa Hana uwezo wa kufundisha Taifa stars
Sasa we hata umlete GUARDIOLA kwa wachezaji wa kiwango cha HAJI MNOGA na Kina SAMATTA unahisi atafika wapi?

Plus kina MWAMNYETO?
 
Back
Top Bottom