Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, Tundu Lissu kura nyingi zitatoka kwenye mataifa ya nje! Ushindi wake utatokana na kura za wabelbgiji.,waingereza, nk.Lissu ananyoosha watu na hakika watasghulikiwa kimataifa.
Lissu anaweza kupata support ya kimataifa kama ilivyokuwa kwa Mandela wakati yuko gerezani.
Then those who think we are heading into that direction have their stationed ambassadors to air that view first, not some law firm who keep issuing empty threats with the belief we are a nation gullibles from the advice of his sick client.
Kwakweli sipungikiwi kitu hila Lissu atagawa mali za taifa bure kwa mabeberu.Taratibu kiongozi, roho isije ikakutoka bure kwa kupigania ushenzi na uharamia. Tume ni yenu na kila chombo muhimu ni chenu pia. Mishipa ya nini shingoni namna hiyo? Sisiemu ikitoka madarakani utapungukiwa nini?
Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
======
View attachment 1545058
View attachment 1545059
View attachment 1545060
[/QUOTES]
Hoja mu hizi zilishapitwa na wakati. Maneno ya mwaka 47Kwakweli sipungikiwi kitu hila Lissu atagawa mali za taifa bure kwa mabeberu.
Na wewe Lissu akishinda unapata faida gani mbona kama hasira unaniletea mimi.
Inaendeshwa na hela za kodi za sisi walala hoiNchi haiendeshwi na barua za mabeberu.
Mwaka huu tofauti na miaka mingine kila mbinu inaumbuliwa kabla ya kufanya kazi.Hatari sana.
Nchi ilikua ya akina Nyerere wewe Sasa hivi nchi imevamiwa.Dogo hii ni nchi siyo kikundi cha vikoba
Hili nalo neno!Kuna watu wanadharau Sana Eti law firm.. Jambo msilolijua ni mataifa makubwa operation zake nyingi they use law firms, institutions mbalimbali, companies etc.. Hao huwa Wanakuwa vivuli ila nyuma yao wapo CIA etc.
kumbe fikra pevu aliondoka nazo mw nyerere , why mnajitoa ufahamu kwa kuangalia leona sio kesho yako,eti kama niko utumwani niende nchi jirani , wasema kama vile unayo hatimilki na taifa , ahami mtu hapa na msituletee migogoro isiyo kua na kichwa wala miguu kutualibia taifaifa ,Hii nchi huru kama we unajiona upo utumwani unawezq kuhami nchi jirani. Na hao wanaotutafuta wapo siku zote tokea enzo za mwalimu kasome historia tuliwashughulikia nao na tutaendelea kushughulika nao siku zote.
Mimi nimeshakuelewa mwalimuSijui kama watu wanaelewa.
Nilisema mwaka mmoja uliopita kuwa maamuzi juu ya utawala wa awamu ya 5 yalikwishafanyika tangu mwakajana. Wanasubiriwa kwenye ncha 4, na moja tu itatosha implementation ya maamuzi.
Kama wanaotegemewa ni hawa wapiga majungu na mabingwa wa kuteka, hawataisaidia serikali, badala yake watu wataingia wazima wazima, kisha kuduwaa na kishangaa imewezekana vipi utekelezaji ukawa haraka namna hii.
Ukiwa na mshindani anayejua na anayetegemea namna utakavyofanya, halafu ukafanya vile vile kama alivyokuwa anategemea, ujue umeisha na umefeli kikamilifu. Ndiko watu wanakoelekea.
Amsterdam siyo wao bali ni jamii ya kimataifa. Barua hizi hazina lengo la kuonya wala kutisha bali kukamilisha hatua zote kama ilivyoamliwa namna ya kutekeleza.
Watakaoshindwa kuelewa, wasubirie. Kenge huwa hasikii mpaka atoke damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishtuka pale walipoandila barua ya mwanzo wakiwapa Onyo Kuanzia DCI, CDF, DIGIS, GDPP, CJ, nilishangaa sana. Maana hawa watu huwa hawaguswi hata kuwataja jina tu.Sijui kama watu wanaelewa.
Nilisema mwaka mmoja uliopita kuwa maamuzi juu ya utawala wa awamu ya 5 yalikwishafanyika tangu mwakajana. Wanasubiriwa kwenye ncha 4, na moja tu itatosha implementation ya maamuzi.
Kama wanaotegemewa ni hawa wapiga majungu na mabingwa wa kuteka, hawataisaidia serikali, badala yake watu wataingia wazima wazima, kisha kuduwaa na kishangaa imewezekana vipi utekelezaji ukawa haraka namna hii.
Ukiwa na mshindani anayejua na anayetegemea namna utakavyofanya, halafu ukafanya vile vile kama alivyokuwa anategemea, ujue umeisha na umefeli kikamilifu. Ndiko watu wanakoelekea.
Amsterdam siyo wao bali ni jamii ya kimataifa. Barua hizi hazina lengo la kuonya wala kutisha bali kukamilisha hatua zote kama ilivyoamliwa namna ya kutekeleza.
Watakaoshindwa kuelewa, wasubirie. Kenge huwa hasikii mpaka atoke damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshasema watatuma international investigators. Jiulize samepata kibali wapi cha kuingiza foreign investigators kwenye nchi huru?Kuna watu wanadharau Sana Eti law firm.. Jambo msilolijua ni mataifa makubwa operation zake nyingi they use law firms, institutions mbalimbali, companies etc.. Hao huwa Wanakuwa vivuli ila nyuma yao wapo CIA etc.
Kama walivyofanya uchaguzi wa Mgombea urais ccmSiku ya uchaguzi Kura zihesabiwe openly tuone!!!!
Achana na hao waganga njaa na wapwa tuinuane.Mbona mnapenda kupotosha kama vile wewe peke yako ndio unasikia anachokiongea Lissu. Chuki zenu dhidi ya Lissu zisiwafanye mataahira. Lissu alisema akiibiwa kura hatakubali. Atadai haki yake. Moja ya njia ya kudai haki yake ni kuingiza watu barabarani. Sasa wewe kwa maksudi unapotosha eti akishindwa ataingiza watu barabarani, you are pathetic.
hii ni notes ya tatu. Msije sema hatujawaambia."Weka mbali na watoto"
Kuna watu wanadharau Sana Eti law firm.. Jambo msilolijua ni mataifa makubwa operation zake nyingi they use law firms, institutions mbalimbali, companies etc.. Hao huwa Wanakuwa vivuli ila nyuma yao wapo CIA etc.
Mkuu, atajulia wapi huyo. Kichwa chake kimejaa hotuba za akina slow slow na yule wa kutembeza buti kule mtama.Hili nalo neno!
Rais anachaguliwa na Watanzania. Acheni tumchague tunaye mtaka.Kwa hiyo na wewe unashabikia hayo mataifa yatuchagulke raisi!! Ili baadae huyo rais awalipe nini kwa huo wema wao!! Kondoo sana wewe.
Tena hizo barua kama ni za kweli ndiyo zinamharibia huyo mpumiliwa kisogoni wenu. Zinamuondolea imani kwa wapiga kura