Kama anaharibika huko Lumumba hakuna shida, Jiwe na TUME YAKE YA MFUKONI wasituvuruge. Watuache tumchague Mgombea tumtakye, yeye si amejenga madaraja,kununua ndege wasiwasi wa nini tena?Mnachekelea wakati mgombea wenu ndio anazidi kuharibikiwa
Ni mjinga tu anayewategemea mabeberu wampe urais! Watz ndiyo wanaopiga kura na baada ya tarehe 28/10/2020 ndiyo mtawajua watz walivyo smart!Barua yenyewe ndio hiyo, jisomee mwenyewe.
======
View attachment 1545058
View attachment 1545059
View attachment 1545060
Cdm mukipata hata diwani mmoja, cdm itakua imejitahidi sana.😂😂😂😂 mnalo mwaka huu!! Si mlipanda udhalimu sasa ndo muda wa kuvuna mataga nyie
Mungu azidi kuwabariki mabeberu bila wao hawa wakoloni weusi africa mbona wangetugeuza bucha usiku na mchana sema tu wakifikiria ze hague na hofu ya kunyimwa misaada plus kunyimwa ruhusa ya kuingia ubeberuni angalu wanakuwa watu kidogo kwa kupunguza speedLissu ananyoosha watu na hakika watasghulikiwa kimataifa.
Lissu anaweza kupata support ya kimataifa kama ilivyokuwa kwa Mandela wakati yuko gerezani.
Anza kunishangaa MimiLissu anatumiwa na wazungu kwa maslahi ya wazungu. Nitamshangaa mtanzania atakaye mchagua lissu.
Kuna tofauti ya taifa na utopolo unaofanywa na CCM na Magufuli,ikitokea la kutokea sisi wengine tutakuwa upande wa beberu maana magu na CCM wameshatuchosha kujifanya wao ndo wamiliki wa nchi hii na sisi wengine tunawasindikiza tuHivi hao Amsterdam and partners LLP wanaweza kuwa na power kuliko taifa letu WATANZANIA? Mbona tunajihaibisha sana
tza sio kisiwa ni global village ni haki yao kuingilia kati ili kuepusha gharama za kuhudumia wakimbizi.Kumbuka watawala wa kiafrica wanachoweza kwa ufasaha kabisa ni kuzalisha wakimbizi dunianisababu ya tumbo lao na sio kuhudumia wakimbizi wanaachiwa jumuia za kimataifaLisu hamna kitu so hawa ndio wata mlinda na nini, Tanzania ni nchi huru kama kuna njama waende mahakamani wakaishitaki serikali, haya matamko haya impact yoyote hile na yanawafanya chadema na lisu wote wazidi kuonekana wehu.
Kuna watu mnahitai kuhurumiwa tu! Kama mambo huyaui ni bora kutulia tu wenzako wanaoelewa kama akina IGP wameihaona upepo umekaa vibaya!Wanachemka sasa..wameanza hadi kuingilia mhimili wa mahakama wakati wao wanajiita law firm..kweli hivi vikampuni vya kwenye mikoba vina shida sana.
Kisha wangejua ndio wanaharibu zaidi na wanamharibia mteja wao kwa kumtaja taja magufuli wangekaa kimya tu.
Maana magufuli huwa hajibizani na takataka. Huyo mteja wao mwenyewe kamtaja wewe Magufuli kwa majina yote na wala hajajibiwa hadi kaamua kujizungumzia yeye tu sasa.
yanayoendelea uyaoni dalili za mvuaTar 30/7 kesi ilihairishwa mpaka 26/8 inamaana wakili wa lisu hakumpa taarifa mteja wake au hakufanya jambo kesi ihairishwe maana ratiba ya tume inaeleweka......
Nawasiwasi sana na hizo mabarua za kijinga, tuwe wa kweli ni lini tume imesema itamuengua lisu au huwa ni speculation za mitandaoni tuu..
Kama siku hizi serikali inashughulika na barua za mitandaoni basi tuna serikali mfu kama mlivyo wafu raia kama wewe.Kuna watu mnahitai kuhurumiwa tu! Kama mambo huyaui ni bora kutulia tu wenzako wanaoelewa kama akina IGP wameihaona upepo umekaa vibaya!
Sasa kama dalili zinaonesha za kukatwa akae kimya?Tar 30/7 kesi ilihairishwa mpaka 26/8 inamaana wakili wa lisu hakumpa taarifa mteja wake au hakufanya jambo kesi ihairishwe maana ratiba ya tume inaeleweka......
Nawasiwasi sana na hizo mabarua za kijinga, tuwe wa kweli ni lini tume imesema itamuengua lisu au huwa ni speculation za mitandaoni tuu..
Wanasaccos na mabeberu ndiyo wanahangaika sana mara mabeberu wameandika barua JF sijui kwa rais. Sisi tunataka angombee ili 28/10/2020 akiona matokeo afe kihoro kabisa arudi kwao Ubelgiji akawaone familia yake akiwa na maumivu ya kutosha!!Kwenu Wana Lumumba,
Hakuna kitu kama hicho cha kuenguliwa, Tundu Lissu lazima agombee.
Mlisema hatakuja, kaja toka Belgium.
Mlisema msaliti hana mvuto wa kisiasa, imebainika siyo kweli.
Mlisema siku ya Sikukuu ya Nane Nane Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Dodoma itakuwa imefungwa, Tundu Lissu alikuta ipo wazi.
Mlisema hati yake ya Kiapo haitasainiwa na Jaji wa Mahakama Kuu Dar es Salaam , jana fomu zake za kiapo zimesainiwa.
Mmepanga kumuita Kisutu tarehe 26 August 2020, Tundu Lissu hawezi kutokea kwa udhuru wa jambo muhimu ktk mchakato wa kuelekea uchaguzi 2020.
Mnasema tarehe 26 August 2020 hatatambuliwa kama mgombea rasmi wa Urais kupitia CHADEMA 2020, Tundu Lissu atatambuliwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa na ndiyo itakuwa siku ya kusitisha tuhuma zote za mahakamani mpaka baada ya uchaguzi tarehe 28 Oktoba kumalizika.
Wagombea wanaotambuliwa na Tume ya Uchaguzi 26 Agosti tuhuma za mashtaka yao yatasitishwa kwa kinga maalum ili sisi waTanzania tuweze kushiriki kumpigia kura maana tuhuma ya kesi siyo kigezo cha kumuondolea haki yake kuchaguliwa kwani tuhuma siyo ukweli mpaka pale tu atakapo hukumiwa ndiyo sifa inakosekana.
Umbumbu huu yaani kikundi cha watu kiendeshe serikali ya magufuli..waambieni ngoma mbichi sana..wasubirie mziki..watajuta kuwa mawakili wa huyo bwana..kawaingiza chaka.Tulia mama usipate taabu ,kila wanachopanga kinajulikana soma hapa , Jiwe mwaka huu atawajua wenye dunia.View attachment 1545046
Tusipokua makini nchi itaongozwa na hawa mabeberu
ICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali sawa sawa na ofisi ya DPP kwa Tanzania.
Kesi zao wanazitafuta wenyewe na wanakushitaki wenyewe hakuna mwanasheria independent anaweza kwenda kufungulia nchi au mtu kesi ICC.
Mambo mengine ni kufurahishana tu, kati ya Lissu na wafuasi wake lakini Amsterdam hana jurisdiction kwenye mambo ya ndani ya Tanzania.
Binafsi naomba Lissu asikatwe pamoja na kuvunja kanuni aachwe agombee baada ya kushindwa ndio watu wataelewa huyu mtu anahitaji psychological help.
Lissu kwa sasa anaamini yeye ni mtu untouchable, above the Tanzania laws, he has large group of followers ready to rebel at his whim and that belief is ever growing as days go by yote kwa sababu vyombo vya ulinzi wameamua ku entertain his thoughts tangia amerudi out of pity considering his plight, but at some point he needs to come down to earth.
Baada ya kushindwa uchaguzi the extent of Lissu’s mental health problem will become obvious, to many people; time will tell.