Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Stupid, wakala w vyama waliondolewa na wapiga kura
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Sky Leo Maxence Melo alikuwa na hukumu, una taarifa.? Hapa Nina shida kubwa ya mitandao
 
Kwanini mlitaka kumtoa Zitto roho alipo lobby kuhusu pesa ya mfuko wa elimu?
 
Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Tanzania hatutegemei ruzuku za kijinga jinga wewee
 
Ana muonyesha bebi wake kuwa anajali lakini moyoni anamng'ong'a
 
Hahhahahahaaaaa sky kama nakuona ulivyonuna siku mbili hizi mtaongea yote sasa hivi hamna chenu mkajipange upya na Amsterdam wenu anaye twanga maji kwenye kinu hao anaowashitakia wala hawana impact na nchi yetu
Wajinga hawa tumewakomesha sheziiitypes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…