Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Na kweli wananchi wengi waliingia mashaka Na Robert bAmsterdam iweje amlete Lissu?Amsterdam amechangia sana kummaliza Lissu. Angekaa kimya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli wananchi wengi waliingia mashaka Na Robert bAmsterdam iweje amlete Lissu?Amsterdam amechangia sana kummaliza Lissu. Angekaa kimya tu
Haelewi aende wapiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu muhuni kacharazwa hadi hajui la kufanya
Mishahara inawatosha ile acheni fujoooWatumishi wa serikali sahauni nyongeza ya mshahara na wanafunzi malipo ya mkopo wa elimu yatapabsa
Stupid, wakala w vyama waliondolewa na wapiga kuraMagu alishasema nchi yetu haihitaji misaada ya masharti. Kama wanadhani watamtingisha Magu kwa kuvuliwa uanachama watafeli sana.
Upinzani wajipange upya. Suala la Sera zao, kejeli za Lissu, na kuchokwa kwa wabunge majimboni, kutokuwa na mawakala waaminifu limechangia kushindwa kwao
Mkuu tundu lissu mnamwapisha lini mmepigwa kipingo kitakatifuKateni misaada na mikopo tuone Jiwe litafika wapi.
Tumewakomesha shezi hawaa warudie tena ujingaHumu mitandaoni mtu mmoja anaweza kupiga kelele utadhani watu 1000! Halafu hapigi kura...
Sky Leo Maxence Melo alikuwa na hukumu, una taarifa.? Hapa Nina shida kubwa ya mitandaoNigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Kwanini mlitaka kumtoa Zitto roho alipo lobby kuhusu pesa ya mfuko wa elimu?Magu alishasema nchi yetu haihitaji misaada ya masharti. Kama wanadhani watamtingisha Magu kwa kuvuliwa uanachama watafeli sana.
Upinzani wajipange upya. Suala la Sera zao, kejeli za Lissu, na kuchokwa kwa wabunge majimboni, kutokuwa na mawakala waaminifu limechangia kushindwa kwao
Tanzania hatutegemei ruzuku za kijinga jinga weweeNigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Budget ya Tz inawategemea wafadhili kwa % ngapi?Tanzania hatutegemei ruzuku za kijinga jinga wewee
Tumewakomesha wajinga nyie mrudie tena 2025 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnajisifu kufanya uharamia!!!
Sijapata taarifa, tusubiri kidogo na nitakujulisha kama hazikawekwa hapa.Sky Leo Maxence Melo alikuwa na hukumu, una taarifa.? Hapa Nina shida kubwa ya mitandao
Live kabisa mkuu hatakagii ujinga kab is a[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amsterdam amechangia sana kummaliza Lissu. Angekaa kimya tu
Hahahahahah watapigwa Kama mbwa moko[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi mnataka Lissu aongee kilugha gani ili mjue kama kataka mkaandamane?
Yuko hoi hiki kichapo siyo Cha mbwa mwizi Bali ni kichapo Cha shoga mwizi.Lissu yupo Tegeta anakula upepo
Ana muonyesha bebi wake kuwa anajali lakini moyoni anamng'ong'aWakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Saiz wapo Twitter wanafaligiana kigumu hivyo hivyoHalafu wanamatusi utashangaa. Kumbe ni wanachadema matawi ya nje ya nchi.
HahahahahMkuu kwanini mnadharau sana Lissu? Kasema andamaneni, mbona hatuwaoni?
Wajinga hawa tumewakomesha sheziiitypesHahhahahahaaaaa sky kama nakuona ulivyonuna siku mbili hizi mtaongea yote sasa hivi hamna chenu mkajipange upya na Amsterdam wenu anaye twanga maji kwenye kinu hao anaowashitakia wala hawana impact na nchi yetu
Hata tundu lisu akili ndogo. Ubishi wa kijiweni ndo unambebaHuyu jamaa mm ningekuwa nimesomea sheria ninge deal naye mwenyewe. Maana inaonyesha elimu yake ni ndogo mnoo, lkn anajidai kwelikweli.