Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Hivi huyu Amsterdam anakaa mataa gani pale Manzese, pale Mabatini - Mwanza, Mwanjelwa - Mbeya au pale Ngamiani - Tanga, Ngaramtoni - Arusha??

Tuwe makini na watu wenye uchu na rasmali za Tanzania.
 
Huyu ajax Amsterdam anatetea maslahi ya lissu?, Chadema?, Au Tanzania maana hasikiki akizungumzia inshu za maalim seif au ndo muda wa Kila mtu ale size yake
Aongelee issue ya Maalim Seif kwani Maalim Seif anaunga mkono ushoga? Amsterdam anamaslahi na Lissu kwa kuwa Wana Jambo lao la mashoga.
 
Wacha dunia nzima ijue uhuni wao.

Halafu kesho muanze kuwalilia njaa hao mabeberu, mtavuna mlichokipanda wajinga.
Wewe inaonekana hata Amsterdam akikuomba tk unatoa bila hiyana. Una mahaba sana na ngozi nyeupe. Una watoto?
 
Fanyeni hamasa ya nyumba kwa nyumba.
Kwani enzi za harakati za kina hayati karume na Nyerere kulikua na mtandao? Waliji organise aje😁😁
Hiyo nyumba kwa nyumba hamkuiona wakati wa uchaguzi mgombea wenu akawa anaruka na chopa hata bila kibali Sasa Leo nyumba kwa nyumba mnaweza kweli?
Kichapo Cha shoga mwizi hiki kamwambieni Amsterdam atawapa urais.
 
Huyu ajax Amsterdam anatetea maslahi ya lissu?, Chadema?, Au Tanzania maana hasikiki akizungumzia inshu za maalim seif au ndo muda wa Kila mtu ale size yake
😂😂😂 na Kati ya Holland
 
Soma ripoti za waangalizi wa uchaguzi pamoja na taarifa ya ubalozi wa Marekani ya jana ndo utaelewa.Wamesema wameona kura zilizopigwa kwa wagombea kabla hata ya uchaguzi kufanyika hvyo uchaguzi una mashaka makubwa juu ya uhalali.Just be impartial
Nyie endeleeni kusikiliza hao wazungu na Hilo beberu lake Amsterdam, hapa Tanzania sisi wengine tunafanya maamuzi na kusikiliza viongozi wetu na kuchapa kazi na kuwachapa kichapo Cha shoga mwizi. Sasa mtatapatapa kila Kona eti oooh marekani kasema Mara ooh Amsterdam. Mwenzenu tar 18 Dec anaondoka na beberu lake.
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.

Ebu waanze kuandikia barua kama hiyo juu ya Putin wa Russia, Kagame wa Rwanda na Museveni wa Uganda ndo Tz ifuate!!! Nilichoona na kugunduwa kama raia wa kawaida, wananchi wengi hawakupiga kura, walijiandikisha lakini hawakujitokeza kupiga kura ndiyo maana wapinzani wameanguka vibaya sana. Tatu, uchaguzi huu haukuwa kama wa 2015 wakati CCM ilikuwa hoi bin taabani! Nne wapinzani wapo kimaslahi tu (too egoistic), laana ile ya 2015 imewagarimu!!
 
Mr Amasterdam, take off your knee from our democracy/sovereignty, WE CANT BREATHE!
 
Hiyo nyumba kwa nyumba hamkuiona wakati wa uchaguzi mgombea wenu akawa anaruka na chopa hata bila kibali Sasa Leo nyumba kwa nyumba mnaweza kweli?
Kichapo Cha shoga mwizi hiki kamwambieni Amsterdam atawapa urais.
Comred 😁😁😁😁😁 ujumbe murua kwa vibaraka huu
💚💛💚💛💚💛
Nimechekaaaaa
 
yaani uchaguzi wa tanzania unawauma sana watu wa nje wakati watanzania wamefanya maamuzi yao wenyewe ko watanzania walio wengi hawana haki yakumchagua kiongoz wanayemtaka
Askofu chidi, umeshnda kawe bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom