Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Nani alikuambia ushoga ni utamaduni wa jamii fulani pekee? Unarudia rudia sana huu utopolo na ujinga wako bila ushahidi wowote wa Historia.

Ushoga umekuwepo kwa Waarabu, Wazungu, Wahindi, Wachina, Waafrika weusi na jamii nyingine zote hata kabla hizo jamii hazijakutana au kuchanganyika. Walichofanya wazungu wengi ni kukubaliana nao tu

Wazungu walipopeleka dini yao Uganda walimkuta Kabaka Mwanga II akihisiwa ni shoga na hata inasemekana ndio sababu mojawapo ya kuwawua wamishenari wao 45 waliokuwa kinyume naye

Jifunze pia "Mudoko dako" ambayo ilikuwepo Uganda hata kabla ya wazungu kufika.
 
Wewe ndio kilaza unayefikri mtu mwenye faida duniani ni yule anayefyatua tu kuijaza dunia.
 

Kama ushoga ulikuwepo Afrika,
Tuambie Kwa kilugha chenu/kikabila ushoga unaitwaje?
 

Ndio maana nikasema ayafanye huko asije kuyaleta kwangu maana nitashawishika kumuua.....Itaniuma sana na kujikuta mimi mwanaume mzima nalia machozi ya uchungu kuona anachofanya mwanangu.
 
Kama Lengo ni kuijaza Dunia na kuzaliana kwanini kuna Wagumba na Matasa???

Je tuwauwe nao?
 
Kwa nini huna tatizo na mademu wasagaji??
Wasagaji watamu sana yaani mi nipo tayari hata niwalipe niwe nawaangalia wakisagana.

Kingine nachopenda wasagaji ukiwapata kwenye 3some kidume unaenjoy kuwapelekea moto huku wakisagana
 
Wasagaji watamu sana yaani mi nipo tayari hata niwalipe niwe nawaangalia wakisagana.

Kingine nachopenda wasagaji ukiwapata kwenye 3some kidume unaenjoy kuwapelekea moto huku wakisagana
Kumbe swala sio kukemea ushoga, swala ni hisia binafsi za unachokipenda?

Ukiupenda usagaji basi usagaji ni ruksa.

Ukiuchukia usagaji basi usagaji ni kosa la jinai.

?
 
Wazazi wangu wamefunguka akili hawana akili za kijinga,

As long as napumua vizuri, nina Afya njema, nachapakazi kiufupi najitegemea siwaombi bali wao ndio nawapiga tafu ikitokea basi kwao ni Faraja kubwa sanaaaaaaa,

Kuzaa au kutokuza sio kipaumbele chao,
Sababu wapo Wagumba na Matasa lakini wapo wasiohitaji watoto kwa sababu zao binafsi,

Maskini peke yake ndio yupo radhi awe na watoto 20 wale Ugali na Chumvi lishe duni ila tu aonekane amezaa na jamii isiyojitambua impe Moyo kua "kila Mtoto huja na Rizki yake"
 
Kumbe swala sio kukemea ushoga, suala ni hisia binafsi za unachokipenda?

Ukiupenda usagaji basi usagaji ni ruksa.

Ukiuchukia usagaji basi usagaji ni kosa la jinai.

?
Kumbe swala sio kukemea ushoga, swala ni hisia binafsi za unachokipenda?

Ukiupenda usagaji basi usagaji ni ruksa.

Ukiuchukia usagaji basi usagaji ni kosa la jinai.

?
Wanawake kusagana haina ukakasi kama kidume kufukuliwa mtaro na kidume mwenzake
 
Daaah! [emoji23][emoji119]
Nacheka sana hadi nimemmiss Dream Queen sijui yuko wapi aje tufurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…