Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Jaribu kimoja Kati ya hivyo ndio utajua kuna wenye jamhuri.
Vijana wa siku hizi hamuishi ujinga.
Mnacheza na Moto alafu ukiwaunguza mnapiga mayowe.

Jaribu Kati ya hayo niliyoyataja hapo usubiri hiyo jamhuri
Hebu nenda kaue tuone nini kitatokea.
 
Muda wa kulala huu na majukumu mengine?
Unategemea wakeshe hapa na wewe?
Halafu umeishiwa hoja umeanza kunisuta...kaka vipi? Mwenzako mipasho siiwezi
Ahahaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna anayetetea uchoko ila ukiona uchoko unatokea kwenye familia ujue ni kufeli kwa malezia mzazi hivyo mzazi ndio wakwanza kuwajibika.

Pili kuua mtoto kisa kawa choko ndio upunguani wa akili zaidi..kwanini kama hupendi na hutaki si umtimue asikanyage kwako.

#MaendeleoHayanaChama
Kwa mfano mi hata nikimtimua kwangu huko atakapoenda bado anatia aibu familia yangu....tuchukue mfano wa Mungu alipowauwa mashoga wa pale sodoma, na sisi tuyauwe yoooote.
 
Nani wa kuninyima confidence?
Mimi sio muuaji na sitarajii kuwa muuaji hata kwa bahati mbaya

Mkuu ukisema sio muuaji zingatia usiwe mzinzi wala mwizi wala msengenyaji and etc maana kama umeamua kua mwema hupaswi kuachagua dhambi yakufanya na isiyo yakufanya hata kama umewahi kutoa mimba pia ni dhambi and etc

Ila sikulaumu we ni mwanamke mna fikra tofauti na upande wa kiume ndo maana zamani mlikua mnawekwa nyuma sababu dunia inahitaji mtu imara kifikra ndo maana zikawepo hukumu za kunyogwa mpaka kufa kwenye kila nchi uku ukipewa kitabu cha dini yako utubu kisha kuuliwa, hata ukisema mi siwezi kuua ili kua msafi inawezekana ukawa bado ni mchafu kwa mungu kuzidi yule aliekuua.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Kwa hili japo imeandikwa usiue, niko upande wa baba mzazi....
 
Wenzako wanaotetea kuuwawa kwa mashoga sio wengi kiasi cha kuweza kukutetea muuaji mwenzao usikamatwe na kupelekwa jela??

Hakuna polisi wa kutosha wanaochukia mashoga kiasi cha kukataa kukukamata?

Hakuna waendesha mashtaka wanaochukia mashoga kiasi cha kukataa kukufungulia mashtaka ya mauaji?

Huamini kwamba utapata jaji "mfia dini" atakayekubaliana na mauaji yako na akakuchia?

Kama ukifungwa huamini utapata Askari Magereza wanaochukia sana mashoga ambao watakufanyia mpango utoroke jela??
Kwa sababu sheria za nchi haziruhusu kuua....kwa hiyo ikijulikana ni mimi nimeua jela itanihusu.
 
Kwanini akimbie kufungwa sasa wakati maandiko yanasema ruksa kumuua Shoga?
Huoni kama alitakiwa akae na yeye apewe tuzo ya ujasiri wa kumuua Shoga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Safi kabisa....hii ndio sampuli ya wazazi tunahitaji hapa duniani. Hawezi mtoto akachafua jina la familia alafu baba unakenua kenua meno tuu. Apewe tuzo huyo baba
Japo mimi sio muuaji ili kwa hili niko sambamba na mzazi mwenzangu....

Liwalo na liwe
 
Kwa mfano mi hata nikimtimua kwangu huko atakapoenda bado anatia aibu familia yangu....tuchukue mfano wa Mungu alipowauwa mashoga wa pale sodoma, na sisi tuyauwe yoooote.
Haya nenda kayauwe si yapo hapo mtaani kwako..natarajia kupata taarifa ya habari kuwa umeanza oparesheni kabambe ya kuua machoko.

Hivi huyo choko akitinduliwa mtaro wewe kinachokuuma nini hasa.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Yani mulemule, unalea toto linakuletea "mchumba punga", eti niheshimu haki za nyoko. Wauwawe tu hakuna namna, uamuzi mzuri toka kwa mzee..hiyo aibu yake nani anaibeba toto punga.

Mtoto anadharau Sana huyo.
Kawa shoga kaona haitoshi anakuja mpaka Nyumbani kumtambulisha shoga mwenziwe.
Hakika hiyo ndio Dharau kubwa niliyopata kuisikia tangu nilipozaliwa.

Hakuna mwanaume yoyote duniani anayeweza kuvumilia aibu hiyo.

Sema Mzee alifanya haraka Sana kumuwahisha kuzimu.
Angepaswa amuue indirect way.
 
Wenzako wanaotetea kuuwawa kwa mashoga sio wengi kiasi cha kuweza kukutetea muuaji mwenzao usikamatwe na kupelekwa jela??

Hakuna polisi wa kutosha wanaochukia mashoga kiasi cha kukataa kukukamata?

Hakuna waendesha mashtaka wanaochukia mashoga kiasi cha kukataa kukufungulia mashtaka ya mauaji?

Huamini kwamba utapata jaji "mfia dini" atakayekubaliana na mauaji yako na akakuchia?

Kama ukifungwa huamini utapata Askari Magereza wanaochukia sana mashoga ambao watakufanyia mpango utoroke jela??
Watakaonitamata kunipeleka jela watatumia sheria, watakaotaka kunitetea watatumia sheria ipi? Ni lazima watakaotaka kunitetea watashindwa na nitaangukia kifungo cha maisha. Ikiwekwa sheria yoyote ya kututetea tutakaoyaua mashoga nitaua waziwazi Kama huyu mzee wa kwenye uzi na sikimbii nchi kwa sababu nitalindwa na vifungu vya sheria.
 
Kwa nini unawachukia mashoga kiasi hicho?
Walikufanyaje??
Wanajianika na kuharibu jamii. Unless kama kwako wewe ukijaaliwa mitoto mishoga utafurahia na kuona umepatiwa maisha. Sina tatizo na shoga anayejichifa akafanya kimyakimya, ila wanaozurula mitandaoni kama influencers hao ndio nachukia
 
Hakuna anayetetea uchoko ila ukiona uchoko unatokea kwenye familia ujue ni kufeli kwa malezia mzazi hivyo mzazi ndio wakwanza kuwajibika.

Pili kuua mtoto kisa kawa choko ndio upunguani wa akili zaidi..kwanini kama hupendi na hutaki si umtimue asikanyage kwako.

#MaendeleoHayanaChama

Elewa kila kitu kina mipaka yake.

Jambo lililo nje ya familia yako Hilo halikuhusu kiwajibu na kimajukumu.
Ndio maana hata wewe huwezi kulisha majirani zako chakula kwani sio wajibu na majukumu yako.

Mkiongea vitu muwe mnatumia Akili.

Kila kitu kina cycle na mipaka Haley.
Ndio maana kuna Familia, ukoo, kabila, taifa, jumuiya za kimabara na Dunia.

Hata Rais Samia Suluhu hawezi ingilia mambo ya nchi nyingine. Ila likitokea hapa Tanzania anauwezo wa kuingilia.

Jukumu la ushoga unaotokea nje ya familia ni jukumu la Familia husika au Serikali kwani ndio ngazi inayojumuisha familia, koo na makabila mengi.

Ndio maana Serikali haiwezi kuzuia wewe kuoa mtu Fulani lakini Baba au Mama yako wanahiyo power ya kuzuia.
Lakini Familia nyingine haiwezi kuzuia wewe usioe wakati ni mambo yasiyowahusu.

Hata kama mmeamua kutetea uchafu basi ASI tumieni hata Akili kutoa hoja zenu
 
Back
Top Bottom