Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Nani alikuambia ushoga ni utamaduni wa jamii fulani pekee? Unarudia rudia sana huu utopolo na ujinga wako bila ushahidi wowote wa Historia.

Ushoga umekuwepo kwa Waarabu, Wazungu, Wahindi, Wachina, Waafrika weusi na jamii nyingine zote hata kabla hizo jamii hazijakutana au kuchanganyika. Walichofanya wazungu wengi ni kukubaliana nao tu

Wazungu walipopeleka dini yao Uganda walimkuta Kabaka Mwanga II akihisiwa ni shoga na hata inasemekana ndio sababu mojawapo ya kuwawua wamishenari wao 45 waliokuwa kinyume naye

Jifunze pia "Mudoko dako" ambayo ilikuwepo Uganda hata kabla ya wazungu kufika.
Kutoka 20:12
Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.

Hicho kielimu chako kisikufanye ukawa limbukeni kudandia tamaduni za kishenzi ambazo hata Baba au mama Yako akisikia utamfadhaisha.

Kama haujali heshima yako basi Linda basi heshima ya Wazazi wako waliokuzaa.
Kuhusu heshima ya aliyekuumba naamini kabisa haipo na haumuamini.
Basi Linda heshima ya Wazazi wako.

Kama huwajali pia hao wazazi wako. Basi waangalie watoto wako.

Unachokitetea na kukifanya kitakufanya siku moja ujute.

Ukitaka ujue kile unachokitetea ni kizuri au Kibaya.
Nenda kaongee na wazazi wako waliokuzaa na kukulea Kwa mapenzi yote, wanaokutakia mafanikio na maisha mazuri ndio maana walikusomesha. Uone response Yao ikoje.
Ninaamini Baba yako ataongea Kama Mimi lakini yeye ataongea Kwa uchungu zaidi kwani atakuonea huruma na kuona umepotoka

Haukusomeshwa uje utetee tamaduni za kishenzi, haukusomeshwa ili uwe na mtazamo huo.
Bali ulisomeshwa ili uwe mtu Bora na Mama wa kuzalisha kizazi Bora Kwa ajili ya taifa hili.

Jitafakari
 
Wewe ndio kilaza unayefikri mtu mwenye faida duniani ni yule anayefyatua tu kuijaza dunia.
Huyo Muumba unayemsema alipoona hawana faida aliwateketeza Kwa moto, sijui unaelewa ilivyochukizo kwake Kwa kiwango Gani, na akasema ikitokea Kwenye jamii yako sharti wauwe kwani hawana faida yote yote, wewe unaongelea sijui ajira sijui kujiajiri wakat Mungu lengo na kusudi lake ni kuijaza Dunia kwa kuzaliana
 
Nani alikuambia ushoga ni utamaduni wa jamii fulani pekee? Unarudia rudia sana huu utopolo na ujinga wako bila ushahidi wowote wa Historia.

Ushoga umekuwepo kwa Waarabu, Wazungu, Wahindi, Wachina, Waafrika weusi na jamii nyingine zote hata kabla hizo jamii hazijakutana au kuchanganyika. Walichofanya wazungu wengi ni kukubaliana nao tu

Wazungu walipopeleka dini yao Uganda walimkuta Kabaka Mwanga II akihisiwa ni shoga na hata inasemekana ndio sababu mojawapo ya kuwawua wamishenari wao 45 waliokuwa kinyume naye

Jifunze pia "Mudoko dako" ambayo ilikuwepo Uganda hata kabla ya wazungu kufika.

Kama ushoga ulikuwepo Afrika,
Tuambie Kwa kilugha chenu/kikabila ushoga unaitwaje?
 
Bora kwako ni mtoto wako kuwa jambazi linalotoa roho za watu wengine na kuwachaa watoto yatima, wajane au wagane ila sio shoga ambaye hadhuru mtu yeyote??!
Mbona sasa hatuoni zikiendeshwa Operation za mashoga badala yake tunaona Operation za panya road?? Au ni misplaced priorities?

Ndio maana nikasema ayafanye huko asije kuyaleta kwangu maana nitashawishika kumuua.....Itaniuma sana na kujikuta mimi mwanaume mzima nalia machozi ya uchungu kuona anachofanya mwanangu.
 
Huyo Muumba unayemsema alipoona hawana faida aliwateketeza Kwa moto, sijui unaelewa ilivyochukizo kwake Kwa kiwango Gani, na akasema ikitokea Kwenye jamii yako sharti wauwe kwani hawana faida yote yote, wewe unaongelea sijui ajira sijui kujiajiri wakat Mungu lengo na kusudi lake ni kuijaza Dunia kwa kuzaliana
Kama Lengo ni kuijaza Dunia na kuzaliana kwanini kuna Wagumba na Matasa???

Je tuwauwe nao?
 
Kwa nini huna tatizo na mademu wasagaji??
Wasagaji watamu sana yaani mi nipo tayari hata niwalipe niwe nawaangalia wakisagana.

Kingine nachopenda wasagaji ukiwapata kwenye 3some kidume unaenjoy kuwapelekea moto huku wakisagana
 
Wasagaji watamu sana yaani mi nipo tayari hata niwalipe niwe nawaangalia wakisagana.

Kingine nachopenda wasagaji ukiwapata kwenye 3some kidume unaenjoy kuwapelekea moto huku wakisagana
Kumbe swala sio kukemea ushoga, swala ni hisia binafsi za unachokipenda?

Ukiupenda usagaji basi usagaji ni ruksa.

Ukiuchukia usagaji basi usagaji ni kosa la jinai.

?
 
Kutoka 20:12
Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.

Hicho kielimu chako kisikufanye ukawa limbukeni kudandia tamaduni za kishenzi ambazo hata Baba au mama Yako akisikia utamfadhaisha.

Kama haujali heshima yako basi Linda basi heshima ya Wazazi wako waliokuzaa.
Kuhusu heshima ya aliyekuumba naamini kabisa haipo na haumuamini.
Basi Linda heshima ya Wazazi wako.

Kama huwajali pia hao wazazi wako. Basi waangalie watoto wako.

Unachokitetea na kukifanya kitakufanya siku moja ujute.

Ukitaka ujue kile unachokitetea ni kizuri au Kibaya.
Nenda kaongee na wazazi wako waliokuzaa na kukulea Kwa mapenzi yote, wanaokutakia mafanikio na maisha mazuri ndio maana walikusomesha. Uone response Yao ikoje.
Ninaamini Baba yako ataongea Kama Mimi lakini yeye ataongea Kwa uchungu zaidi kwani atakuonea huruma na kuona umepotoka

Haukusomeshwa uje utetee tamaduni za kishenzi, haukusomeshwa ili uwe na mtazamo huo.
Bali ulisomeshwa ili uwe mtu Bora na Mama wa kuzalisha kizazi Bora Kwa ajili ya taifa hili.

Jitafakari
Wazazi wangu wamefunguka akili hawana akili za kijinga,

As long as napumua vizuri, nina Afya njema, nachapakazi kiufupi najitegemea siwaombi bali wao ndio nawapiga tafu ikitokea basi kwao ni Faraja kubwa sanaaaaaaa,

Kuzaa au kutokuza sio kipaumbele chao,
Sababu wapo Wagumba na Matasa lakini wapo wasiohitaji watoto kwa sababu zao binafsi,

Maskini peke yake ndio yupo radhi awe na watoto 20 wale Ugali na Chumvi lishe duni ila tu aonekane amezaa na jamii isiyojitambua impe Moyo kua "kila Mtoto huja na Rizki yake"
 
Kumbe swala sio kukemea ushoga, suala ni hisia binafsi za unachokipenda?

Ukiupenda usagaji basi usagaji ni ruksa.

Ukiuchukia usagaji basi usagaji ni kosa la jinai.

?
Kumbe swala sio kukemea ushoga, swala ni hisia binafsi za unachokipenda?

Ukiupenda usagaji basi usagaji ni ruksa.

Ukiuchukia usagaji basi usagaji ni kosa la jinai.

?
Wanawake kusagana haina ukakasi kama kidume kufukuliwa mtaro na kidume mwenzake
 
Shule za Kata haziwezi kuwafundisha haya mambo.

Yeye kazaliwa kakuta watu wanavaa sketi na suruali. Wanaovaa suruali wanaitwa wanaume, na wanaovaa sketi wanaitwa wanawake.

Hajui wapo wanaovaa sketi wana madushe makubwa waliyozaliwa nayo.

Akijichanganya amekwisha.

ELIMU ELIMU ELIMU.
Daaah! [emoji23][emoji119]
Nacheka sana hadi nimemmiss Dream Queen sijui yuko wapi aje tufurahi
 
Back
Top Bottom