Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Bahati mbaya hilo haliwezekani.

Ni fantasy.
Haiwezekani kwenu ila huko wanauliwa na wataendelea kuuliwa kijana. Watu hatutaki ujinga na ukameme.

Mnatueletea shida sana katika jamii, wajinga nyinyi. Allah awalaani nyote mnaofanya haya na kuyatetea kwa hali zake zote.
 
Haiwezekani kwenu ila huko wanauliwa na wataendelea kuuliwa kijana. Watu hatutaki ujinga na ukameme.

Mnatueletea shida sana katika jamii, wajinga nyinyi. Allah awalaani nyote mnaofanya haya na kuyatetea kwa hali zake zote.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umeshawaua mashoga wangapi mpaka sasa?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Mwenzio kafa inakuuma
 
Siku hizi mko wengi na mmeanza kujiweka hadharani.

Mnajificha kwenye kivuli Cha haki za binadamu kulazimisha uharamu wenu uwe halali. Mapenzi ya jinsia Moja lazima yapingwe kwa nguvu zote ingawa mzee aliyeua kafika mbali sana.
Wala hajafika mbali. Yuko sawa. Mungu aliteketeza Sodoma na Gomora kwa moto
 
Haiwezekani kwenu ila huko wanauliwa na wataendelea kuuliwa kijana. Watu hatutaki ujinga na ukameme.

Mnatueletea shida sana katika jamii, wajinga nyinyi. Allah awalaani nyote mnaofanya haya na kuyatetea kwa hali zake zote.

Wamatumbi kwa kujimwambafai [emoji1787]
Kwa hiyo wewe ushakua Muarabu ngoja nikukumbushe wewe Kisai a.k.a Zurii,
Wewe ni Mmatumbi uliozaliwa katika Ardhi ya Tanzania, Babu na Bibi yako waliokuanzishia ukoo wako walikua Wamatumbi na ukoo umeendelezwa wa Kimatumbi, wewe sio Mzungu wala Muarabu wewe ni Mmatumbi wa Matumbi [emoji1787]

Acha kujibebesha ukoo wa Kiarabu hali ya kua huna nasaba nao na wao wanakuona kama Nyani aliyepotea pori [emoji2960]
 
Ndio sio maadili ya kiafrika wala dini haziruhusu. Sasa niambie kwanini amue mtoto kisa kaleta mpenzi wake nyumbani? Huoni kama kila mtu atajicjukulia sheria mkononi tutafika kweli?
Wewe bila kupepesa macho ni bwabwa. Mbwa wewe
 
Ni mawazo yako ila kutetea uhai wa mtu ni kosa?
Mtu akisha kuwa shoga ana hukumu ya kifo tayari , ni mda na mazingira utekelezaji ufanyike ndio kinachokuwa kinasubiriwa
 
Kitendo cha mtoto wa kiume kwenda kumtambulisha mchumba (shoga/basha) kwa baba yake ni kitendo kibaya sana.
 
Mtoto amepata alichokitafuta
Hakuna mzazi anayependa mwanaye awe hivyo lakini kama imetokea haina jinsi ni ukweli mchungu
Sasa pamoja na hayo bado tena uje nyumbani kujitambulisha ni kumdharau baba katika level kubwa sana alichopata alistahili ni utovu wa nidhamu
 
Back
Top Bottom