Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapafahamu huko? Nilikuwa huko miaka ya 2000'sDah Ni lolo hapo hapo madukani?..njia ya kwenda msewe?..au kibaoni?
Huyo jamaa ni freemasonHii ni kama Chai hivi ya Tangawizi[emoji23]
Anyways,
Hivi si Kuna Wanawake huwa wanalalamika kuwa Vijana hawana nguvu za Kiume, kwamba Wazee kwa kimoja chali, Sasa kwa gwaride hilo hizo nguvu zimetoka wapi?[emoji2957][emoji2957]
Huyu mwamba nikimwangalia huwa nachekaga sana aisee🤣🤣🤣🤣🤣Ya moto sanaView attachment 2458500
Hahaha........kwamba alitaka kumtoa kafara Mpenzi wake 😂Huyo jamaa ni freemason
Ndio hivo mkuu, jamaa achunguzwe vizuri.Hahaha........kwamba alitaka kumtoa kafara Mpenzi wake [emoji23]
Anarudi saa nane usiku kumbe anamkwepa mkewe akute kalala, asubuhi mapema kumi na moja eti nawahi kazini[emoji14][emoji14][emoji14]Hii ni kama Chai hivi ya Tangawizi[emoji23]
Anyways,
Hivi si Kuna Wanawake huwa wanalalamika kuwa Vijana hawana nguvu za Kiume, kwamba Wazee kwa kimoja chali, Sasa kwa gwaride hilo hizo nguvu zimetoka wapi?[emoji2957][emoji2957]
Siamini kama wapo wa hivyo 😂Anarudi saa nane usiku kumbe anamkwepa mkewe akute kalala, asubuhi mapema kumi na moja eti nawahi kazini[emoji14][emoji14][emoji14]
Anatafuta sababu tu yakutokomea tu , naenda hapo maramoja ,hiyo maramoja nisaa 4 usiku [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Siamini kama wapo wa hivyo [emoji23]
Hata kama Mko busy unazima simu Jumamosi na Jumapili mnabaki nyumbani kwaajili ya Kukumbushia enzi, hadi Mamaa aseme kwani umenipakia Mkongo [emoji847][emoji125][emoji125]