Amvunja mgongo mpenzi wake akitafuta G-spot

Amvunja mgongo mpenzi wake akitafuta G-spot

Uwasilishaji wa mleta mada unachekesha Sana.

Juma kisauti amesema kwamba alipokuwa anasikia mpenzi wake analia kwa sauti ya uchungu huku akitetemeka mwili mzima, yeye alijua labda pengine ndiyo ameifikia G-spot hivyo aliongeza kumkunja ndipo aliposikia kitu kimelia kooooo.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kama Chai hivi ya Tangawizi😂

Anyways,

Hivi si Kuna Wanawake huwa wanalalamika kuwa Vijana hawana nguvu za Kiume, kwamba Wazee kwa kimoja chali, Sasa kwa gwaride hilo hizo nguvu zimetoka wapi?🤪🤪
Mkuu umeongea kinyume huwa wanapenda Vijana Kwakuwa damu changa inachemkaaaa yani nguvu kama zote! Wazee ndio kimoja chali
 
Mkuu umeongea kinyume huwa wanapenda Vijana Kwakuwa damu changa inachemkaaaa yani nguvu kama zote! Wazee ndio kimoja chali
Hahaha...............nguvu hadi kuvunjana mgongo?

Hapo mnakuwa hamuinjoi mapenzi Sasa kama mnavunjana na migongo 😂
 
Hahaha...............nguvu hadi kuvunjana mgongo?

Hapo mnakuwa hamuinjoi mapenzi Sasa kama mnavunjana na migongo 😂
Hapana sio nguvu hio ya kuvunjana mgongo aisee ukute huyo mwanaume alikua mcheza mieleka😁😁😁!!
Spinal cord ni hatari sana na muhimu sana ukipata hitilafu kidogo tu ndio unakua kilema hivo kwani inacontrol movement yote ya mwili!
 
Hapana sio nguvu hio ya kuvunjana mgongo aisee ukute huyo mwanaume alikua mcheza mieleka😁😁😁!!
Spinal cord ni hatari sana na muhimu sana ukipata hitilafu kidogo tu ndio unakua kilema hivo kwani inacontrol movement yote ya mwili!
Hayo mambo yapo kwa vijana zaidi 🤪🤪

Ila lengo la tendo lenyewe ilikuwa kuzaana tu. Binadamu ndiyo tumegeuza kuwa ni starehe hadi kufikia stage tunatumia Madawa artificial kuweza kwenda round nyingi au ku last longer.

Wakati ingekuwa ni kukamilisha lengo la kuzaana manake hata kama una fika mshindo baada ya dakika 1 kama ni mimba inatungwa vizuri tu 🙈🏃🏃
 
Hayo mambo yapo kwa vijana zaidi 🤪🤪

Ila lengo la tendo lenyewe ilikuwa kuzaana tu. Binadamu ndiyo tumegeuza kuwa ni starehe hadi kufikia stage tunatumia Madawa artificial kuweza kwenda round nyingi au ku last longer.

Wakati ingekuwa ni kukamilisha lengo la kuzaana manake hata kama una fika mshindo baada ya dakika 1 kama ni mimba inatungwa vizuri tu 🙈🏃🏃
Kwahio mkuu nawewe hutumia madawa ili uende round nyingi na u last longer???
 
Back
Top Bottom