Unapafahamu huko? Nilikuwa huko miaka ya 2000'sDah Ni lolo hapo hapo madukani?..njia ya kwenda msewe?..au kibaoni?
Huyo jamaa ni freemasonHii ni kama Chai hivi ya Tangawizi[emoji23]
Anyways,
Hivi si Kuna Wanawake huwa wanalalamika kuwa Vijana hawana nguvu za Kiume, kwamba Wazee kwa kimoja chali, Sasa kwa gwaride hilo hizo nguvu zimetoka wapi?[emoji2957][emoji2957]
Huyu mwamba nikimwangalia huwa nachekaga sana aisee🤣🤣🤣🤣🤣Ya moto sanaView attachment 2458500
Hahaha........kwamba alitaka kumtoa kafara Mpenzi wake 😂Huyo jamaa ni freemason
Ndio hivo mkuu, jamaa achunguzwe vizuri.Hahaha........kwamba alitaka kumtoa kafara Mpenzi wake [emoji23]
Anarudi saa nane usiku kumbe anamkwepa mkewe akute kalala, asubuhi mapema kumi na moja eti nawahi kazini[emoji14][emoji14][emoji14]Hii ni kama Chai hivi ya Tangawizi[emoji23]
Anyways,
Hivi si Kuna Wanawake huwa wanalalamika kuwa Vijana hawana nguvu za Kiume, kwamba Wazee kwa kimoja chali, Sasa kwa gwaride hilo hizo nguvu zimetoka wapi?[emoji2957][emoji2957]
Siamini kama wapo wa hivyo 😂Anarudi saa nane usiku kumbe anamkwepa mkewe akute kalala, asubuhi mapema kumi na moja eti nawahi kazini[emoji14][emoji14][emoji14]
Anatafuta sababu tu yakutokomea tu , naenda hapo maramoja ,hiyo maramoja nisaa 4 usiku [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Siamini kama wapo wa hivyo [emoji23]
Hata kama Mko busy unazima simu Jumamosi na Jumapili mnabaki nyumbani kwaajili ya Kukumbushia enzi, hadi Mamaa aseme kwani umenipakia Mkongo [emoji847][emoji125][emoji125]