Amvunja mgongo mpenzi wake akitafuta G-spot

Anatafuta sababu tu yakutokomea tu , naenda hapo maramoja ,hiyo maramoja nisaa 4 usiku [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Me bado siamini kama wapo wa hivyo

Kuna mahali nimekusoma, unajua namna ya kumteka asiondoke. Ina maana kwa huyo mbinu za kumfanya asitoke zimeshindikana?

Hata za kuloweka nguo zote weekend?🏃🏃🏃
 
Me bado siamini kama wapo wa hivyo

Kuna mahali nimekusoma, unajua namna ya kumteka asiondoke. Ina maana kwa huyo mbinu za kumfanya asitoke zimeshindikana?

Hata za kuloweka nguo zote weekend?[emoji125][emoji125][emoji125]
Ha ha ha ha anaweza toka na kitenge [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aroo hii chai inaweza kuunguza mpaka maini ukimesa kichwakichwa bila kutumia mbinu za kimedani za wala vya moto shughulini.
 
mzabzab
 
Ngoja uelekezwe G Spot ilipo, ila umetumia hekma nyingi sana kuomba masaada.
 
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ma ni na
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]juma kisauti fala kwel na hajui mapenzi
 
"Juma kisauti amesema kwamba alipokuwa anasikia mpenzi wake analia kwa sauti ya uchungu huku akitetemeka mwili mzima, yeye alijua labda pengine ndiyo ameifikia G-spot hivyo aliongeza kumkunja ndipo aliposikia kitu kimelia kooooo"

Kitu kimelia koo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…