libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Je unasubiri kipyenga kipulizwe uombe tena ridhaa kwa wana lramba?Mimi sio Zito Wala sio Lema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je unasubiri kipyenga kipulizwe uombe tena ridhaa kwa wana lramba?Mimi sio Zito Wala sio Lema
Mwigulu ulikuwa unaongeza genge la wahuni wasiojulikana kufanya mauaji na utekaji, ni vema ukatafuta muda ukatubu na uwaombe radhi watanzania, Nape aweza kukushauriHuna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
Waulize wanajua vzr
Bavarian8
Hatujawahi kukataa uwepo wa tume huru ya uchaguzi. Hata kwenye katiba mpya ilikuwa agenda. Wenezetu walikataa. Agenda ya tume huru ni pana
Hahahaaaa, hatare sana me nasubiri avuengue hadharani then akaswekwe jelaAsante Sana kwa ufafanuzi Mh. Mwigulu.
Endelea kukaa bench ila nina uhakika utarudi kwenye uwaziri.
Mwenzako Kangi yeye anaenda kuozea jela
Mheshimiwa usiache kupita kwenye uzi wetu pendwa "kula tunda kimasihara" utupe na wewe japo ushuhuda kidogo [emoji124][emoji124]
Iramba bado ina kiu ya maji si ndio?
Huduma za afya hasa hospitali wananchi wa jimbo la iramba magharibi wanategemea Puma mission, Makiungu na Itigi.
Mwigulu Nchemba usivyo na aibu utabisha na hili.
Kwanini viongozi wengi walikuzwa na mh.freeman mbowe ndio wanapewa vyeo kuliko viongozi walikuzwa na umoja wa vijana wa ccm?Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
INIHUSU KWA KUWA UMESEMA AU KWA KUWA UNATAKA INIHUSU? YAAN RAFIKI YANGU UNAISHI GIZANI KWELIKWELI. ULILISHWA MATANGO PORI YA KISIASA, WALIKULISHA WALISHAHAMIA CCM WEWW BADO UNASHIKILIA. MAISHANI MWANGU SIJAWAHI KUHUSIKA NA HATA JASHO TU LINALOTOKANA NA MATESO KWA MTU. ACHILIA MBALI DAMU
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Ana comment tu Kama historia vile vitu vilivyopitamweshimiwa pengine huwa anapita na kuperuzi tu..hawezi kucomment though pengine naye anatamani lakin...utumishi wa uma unamiiko yake...
Kiomboi na mkalama zina hadhi ya dispensary kihuduma.Wanategemea Kiomboi Hospital ya Iramba, Pia wanaweza kwenda Kwa Majirani zao Mkalama
Mh huna budi kumuomba msamaha Abdul Nondo maana yale maneno yako ni tofauti na alishinda kesi mahakamani,
Kuonyesha uungwana muombe radhi ili uamiliane nae kwa wema
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanajua kwanini hamkuchukua hatua kama wizara/serikali? Je nikisema hamkuchukua hatua kwa sababu mlihusika nitakua nimekosea?Waulize wanajua vzr
Kila siku au kila wakati timu inacheza, Mhe tuweke sawa hapo na kama utaambatanisha na ushahidi itapendeza maana timu inalia njaa...Huna TAARIFA SAHIHI, HATA SASA NIKO NA TIMU MWANZA. KILA SIKU NATOA 1M KWA AJILI YA TIMU